Kitila ampinga Muhongo kuhusu Tanzania kushuka Uchumi wa Kati

Kitila ampinga Muhongo kuhusu Tanzania kushuka Uchumi wa Kati

we mzee bado una yale mambo yako ya ulimbukeni wa vyuo vikuu?

Kuna kitu kinaitwa Academic Seniority, hata ambae hajasoma anakijua hii hupangwa na utofauti wa muda kati ya mtu na mtu kufikia rank fulani, hiyo hua ipo jeshini ndio maana brigedia general akipewa taarifa za brigedia ambae anamshinda miaka 20 kwenye rank anakua mpole, mawakili Mayalla hawezi kua sawa na kibatala, sasa kwenye PHD na Prof ndio balaa, prof kama muhongo wa jiolojia hawezi kua sawa na prof kitila wa sijui historia sijui arts, Muhongo ni senior kwa kitila kwenye kila kitu na hawezi kuropoka tu lazima kafanya utafiti tofauti na kitila anaesubiri majibu ya serikali kwakua haujui uchumi, Rais Samia kaunga mkono kauli ya Muhongo na kwaweka kando mchumi wake mwigulu kabaki na aibu na mnyiramba mwenzie kitila walitaka kuacha taaluma na kusema ukweli wakata kuleta siasa hivi vitu vya uchumi havitaki siasa siku zote ni plans tu, kwa wachumi janja janja kama mwigulu ndio kuishia kukandamiza wananchi kwenye miamala kimsingi tozo ya miamala haitokuza uchumi sio endelevu, wachukue ushauri wa Prof Muhongo wafanyie utafiti vyanzo vipya vya industrial minerals waachane na habari ya tozo
 
[mention]Mwigulu Nchemba [/mention] chukueni ushauri wa Prof Muhongo wezesheni kitengo cha jiolojia cha utafiti sio tume ya madini maana tume haina wataalamu wengi wenye weledi wafanye utafiti tupate vyanzo vingine vya mapato kukimbizana na sigala, soda, bia, miamala ya wananchi ni kujipa laana maana sio endelevu mtambana mwananchi na kuongeza gharama bure za maisha bila sababu, huwezi kua na rasilimali ukategemea vitozo vidogovidogo, ndio matokeo 60% ya bajeti mnazosoma hazifiki kabisa zinakotakiwa na kutegea mtego wakuingiza pesa halmashauri siku tatu halafu mnarudisha kiujanjaujanja kwa nini hazikwenda mapema ili miradi itekelezwe?
 
Kitila hakuwahi kushinda ubunge ni mwizi tuu wa kura aliyesaidiwa na mafisadi wa CCM na yale mapolisi, sio mbunge yule ni mwizi tuu, uchaguzi halali hawezi kushinda mshamba yule
 
Maji hakuna umeme hakuna eti uchumi wa kati, Kitila ni zaidi ya lodi rofa anachoweza ni kulamba matako tuu apate chake, ni la kupuuza tuu na njaa zake

Tulikua uchumi mdogo wa kati, tulikua hatujafika uchumi wa kati, Kenya wasio na rasilimali na ardhi yenye rutba kama sisi wako uchumi wa kati na hawakushuka pamoja na korona, sisi tumerudi tunapostahili kwa sababu fikra za viongozi wetu ndio zimeishia hapo, miaka 60 ya uhuru tunategemea kilimo cha mvua, kilimo cha kubahatisha hatuna scheme za umwagiliaji za kutosha yaani malawi muda huu wanavuna mpunga, mahindi sisi ndio kwanza tunasubiri mvua, Singida kwao mwigulu wanakomaa na Alizeti wakati wangeongeza pia kasi ya kulima mtama mwekundu wenye soko Rwanda na Burundi, ukiongea na Mwigulu anasema alizeti ndio uchumi wa singida anasahau kila eneo siku hizi wanalima alizeti na wanakamua mafuta, kuna mambo unayaangalia unaona kabisa hapa basi tu.
 
Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameitaka Serikali kutolea ufafanuzi kuhusu Tanzania iko katika daraja gani la uchumi duniani ili kuondoa sintofahamu iliyopo.

Akichangia jana kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo pamoja na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka 2023/24, Mbunge wa Musumo Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo alisema Tanzania haiko tena katika uchumi waka kati.

Hata hivyo, akichangia leo Profesa Kitila amesema miongoni mwa mafanikio iliyoipata Tanzania ni kufikia uchumi wa kati mwaka 2021.

“Ni muhimu mheshimiwa waziri akalitolea ufafanuzi baadaye, tunasikia takwimu nyingine zinasema tumeshuka ni muhimu Serikali ikaliweka jambo hili vizuri. Si jambo la kupita hivi hivi leo,”amesema.

Amesema kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (WB), za mwaka 2021 nchi yetu ilikadiriwa kuwa na pato Tanzania lilikuwa ni Dola za Marekani Bilioni 67.78 na sio Dola za Marekani Bilioni 62.

Amesema ukifanya hesabu kwa idadi ya watu wa sasa inawapa kuwa pato la Mtanzania ni ni Dola za Marekani 1133.5 kwa mwaka na hivyo kuonyesha kuwa imepanda kidogo ukilinganisha mwaka 2020.

“Hoja kwamba tumeshuka haiwezi kuwa ni kweli. Ni muhimu tukalinda mafanikio yetu kwa wivu mkubwa sana. Ningeomba mheshimiwa Waziri atakapohitimisha, atolee hoja nzinto ya kueleweka ili nchi isibabaike kama uchumi umeshuka ama uko pale,”amesema.

Aidha, amesema suala la kupambana na umasikini ni muhimu lakini kwenye mpango haionyeshi mikakati ya mahususi ya kupambana na umasikini.

“Ni muhimu mpango wa maendeleo uoneshe jitihada za kushughulikia umasikini bayana. Hata neno umasikini limetajwa mara moja (kwenye mpango) tena kwenye Tasaf (Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini),”amesema.

Ameishauri wataalam wawapelekee mikakati ya kupunguza umasikini nchini katika mpango wa maendeleo. Profesa Kitila amesema kumekuwa na ongezeko kubwa la watu katika sensa ya mwaka 2022 kuliko sensa zilizopita ambazo ongezeko la watu lilikuwa ni chini ya asilimia 3.2.

Amesema mpango huo unatakiwa uwekeze katika kupunguza umasikin, chakula cha kutosha lakini bahati mbaya kila kitu hakitoshi.

“Maana yake turejee katika miaka ya 1970, 1980, tuanze kuzungumzia suala la uzazi wa mpango halikwepweki lazima lifanyike,”amesema.

Ameshauri Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kuongezewa kazi ya kusimamia uzazi wa mpango.

MWANANCHI

Kuwa na uchumi mkubwa kwenye makaratasi ni meaningless kama maisha ya mwananchi ni duni kuliko yanavyopaswa kuwa kulingana na takwimu!
 
Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameitaka Serikali kutolea ufafanuzi kuhusu Tanzania iko katika daraja gani la uchumi duniani ili kuondoa sintofahamu iliyopo.

Akichangia jana kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo pamoja na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka 2023/24, Mbunge wa Musumo Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo alisema Tanzania haiko tena katika uchumi waka kati.

Hata hivyo, akichangia leo Profesa Kitila amesema miongoni mwa mafanikio iliyoipata Tanzania ni kufikia uchumi wa kati mwaka 2021.

“Ni muhimu mheshimiwa waziri akalitolea ufafanuzi baadaye, tunasikia takwimu nyingine zinasema tumeshuka ni muhimu Serikali ikaliweka jambo hili vizuri. Si jambo la kupita hivi hivi leo,”amesema.

Amesema kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (WB), za mwaka 2021 nchi yetu ilikadiriwa kuwa na pato Tanzania lilikuwa ni Dola za Marekani Bilioni 67.78 na sio Dola za Marekani Bilioni 62.

Amesema ukifanya hesabu kwa idadi ya watu wa sasa inawapa kuwa pato la Mtanzania ni ni Dola za Marekani 1133.5 kwa mwaka na hivyo kuonyesha kuwa imepanda kidogo ukilinganisha mwaka 2020.

“Hoja kwamba tumeshuka haiwezi kuwa ni kweli. Ni muhimu tukalinda mafanikio yetu kwa wivu mkubwa sana. Ningeomba mheshimiwa Waziri atakapohitimisha, atolee hoja nzinto ya kueleweka ili nchi isibabaike kama uchumi umeshuka ama uko pale,”amesema.

Aidha, amesema suala la kupambana na umasikini ni muhimu lakini kwenye mpango haionyeshi mikakati ya mahususi ya kupambana na umasikini.

“Ni muhimu mpango wa maendeleo uoneshe jitihada za kushughulikia umasikini bayana. Hata neno umasikini limetajwa mara moja (kwenye mpango) tena kwenye Tasaf (Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini),”amesema.

Ameishauri wataalam wawapelekee mikakati ya kupunguza umasikini nchini katika mpango wa maendeleo. Profesa Kitila amesema kumekuwa na ongezeko kubwa la watu katika sensa ya mwaka 2022 kuliko sensa zilizopita ambazo ongezeko la watu lilikuwa ni chini ya asilimia 3.2.

Amesema mpango huo unatakiwa uwekeze katika kupunguza umasikin, chakula cha kutosha lakini bahati mbaya kila kitu hakitoshi.

“Maana yake turejee katika miaka ya 1970, 1980, tuanze kuzungumzia suala la uzazi wa mpango halikwepweki lazima lifanyike,”amesema.

Ameshauri Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kuongezewa kazi ya kusimamia uzazi wa mpango.

MWANANCHI
Rais ameshasema tumeporomoka.

Hawa wabunge wa mchongo kaazi kweli kweli
 
Kitila ni mpumbafu sana. Unsatisfied and greed person.
Magu alishampa cheo ambacho kingemuwezesha kutembelea gari 'mupya' ya serikali, kupata mshahara mzuri na kuishi bure kwenye nyumba ya serikali.
Hakuridhika. Alipoona wenzake wanagombea ubunge akafuata mkumbo. Naye akagombea akiwazia uwaziri.
Sasa anatembelea magari chakavu ambayo asingeyatembelea katika maisha yake ya utumishi wa umma.
Somo kubwa nililojifunza ni kuridhika na kiwango fulani cha mafanikio katika maisha!
Kitila Mkumbo sijui Kama anajua hata hesabu.
 
Muhongo yuko sahihi.mambo ya uchumi kukua au kupanda yana athari ya moja kwa moja kwa wananchi kwahiyo lazima hiyo athari itaonekana.sio mpaka tupigiwe ngonjera wakati maisha yanaonekana yalivyo magumu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameitaka Serikali kutolea ufafanuzi kuhusu Tanzania iko katika daraja gani la uchumi duniani ili kuondoa sintofahamu iliyopo.

Akichangia jana kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo pamoja na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka 2023/24, Mbunge wa Musumo Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo alisema Tanzania haiko tena katika uchumi waka kati.

Hata hivyo, akichangia leo Profesa Kitila amesema miongoni mwa mafanikio iliyoipata Tanzania ni kufikia uchumi wa kati mwaka 2021.

“Ni muhimu mheshimiwa waziri akalitolea ufafanuzi baadaye, tunasikia takwimu nyingine zinasema tumeshuka ni muhimu Serikali ikaliweka jambo hili vizuri. Si jambo la kupita hivi hivi leo,”amesema.

Amesema kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (WB), za mwaka 2021 nchi yetu ilikadiriwa kuwa na pato Tanzania lilikuwa ni Dola za Marekani Bilioni 67.78 na sio Dola za Marekani Bilioni 62.

Amesema ukifanya hesabu kwa idadi ya watu wa sasa inawapa kuwa pato la Mtanzania ni ni Dola za Marekani 1133.5 kwa mwaka na hivyo kuonyesha kuwa imepanda kidogo ukilinganisha mwaka 2020.

“Hoja kwamba tumeshuka haiwezi kuwa ni kweli. Ni muhimu tukalinda mafanikio yetu kwa wivu mkubwa sana. Ningeomba mheshimiwa Waziri atakapohitimisha, atolee hoja nzinto ya kueleweka ili nchi isibabaike kama uchumi umeshuka ama uko pale,”amesema.

Aidha, amesema suala la kupambana na umasikini ni muhimu lakini kwenye mpango haionyeshi mikakati ya mahususi ya kupambana na umasikini.

“Ni muhimu mpango wa maendeleo uoneshe jitihada za kushughulikia umasikini bayana. Hata neno umasikini limetajwa mara moja (kwenye mpango) tena kwenye Tasaf (Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini),”amesema.

Ameishauri wataalam wawapelekee mikakati ya kupunguza umasikini nchini katika mpango wa maendeleo. Profesa Kitila amesema kumekuwa na ongezeko kubwa la watu katika sensa ya mwaka 2022 kuliko sensa zilizopita ambazo ongezeko la watu lilikuwa ni chini ya asilimia 3.2.

Amesema mpango huo unatakiwa uwekeze katika kupunguza umasikin, chakula cha kutosha lakini bahati mbaya kila kitu hakitoshi.

“Maana yake turejee katika miaka ya 1970, 1980, tuanze kuzungumzia suala la uzazi wa mpango halikwepweki lazima lifanyike,”amesema.

Ameshauri Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kuongezewa kazi ya kusimamia uzazi wa mpango.

MWANANCHI
Mama kashajibu hili nalo sijui likoje???
 
Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameitaka Serikali kutolea ufafanuzi kuhusu Tanzania iko katika daraja gani la uchumi duniani ili kuondoa sintofahamu iliyopo.

Akichangia jana kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo pamoja na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka 2023/24, Mbunge wa Musumo Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo alisema Tanzania haiko tena katika uchumi waka kati.

Hata hivyo, akichangia leo Profesa Kitila amesema miongoni mwa mafanikio iliyoipata Tanzania ni kufikia uchumi wa kati mwaka 2021.

“Ni muhimu mheshimiwa waziri akalitolea ufafanuzi baadaye, tunasikia takwimu nyingine zinasema tumeshuka ni muhimu Serikali ikaliweka jambo hili vizuri. Si jambo la kupita hivi hivi leo,”amesema.

Amesema kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (WB), za mwaka 2021 nchi yetu ilikadiriwa kuwa na pato Tanzania lilikuwa ni Dola za Marekani Bilioni 67.78 na sio Dola za Marekani Bilioni 62.

Amesema ukifanya hesabu kwa idadi ya watu wa sasa inawapa kuwa pato la Mtanzania ni ni Dola za Marekani 1133.5 kwa mwaka na hivyo kuonyesha kuwa imepanda kidogo ukilinganisha mwaka 2020.

“Hoja kwamba tumeshuka haiwezi kuwa ni kweli. Ni muhimu tukalinda mafanikio yetu kwa wivu mkubwa sana. Ningeomba mheshimiwa Waziri atakapohitimisha, atolee hoja nzinto ya kueleweka ili nchi isibabaike kama uchumi umeshuka ama uko pale,”amesema.

Aidha, amesema suala la kupambana na umasikini ni muhimu lakini kwenye mpango haionyeshi mikakati ya mahususi ya kupambana na umasikini.

“Ni muhimu mpango wa maendeleo uoneshe jitihada za kushughulikia umasikini bayana. Hata neno umasikini limetajwa mara moja (kwenye mpango) tena kwenye Tasaf (Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini),”amesema.

Ameishauri wataalam wawapelekee mikakati ya kupunguza umasikini nchini katika mpango wa maendeleo. Profesa Kitila amesema kumekuwa na ongezeko kubwa la watu katika sensa ya mwaka 2022 kuliko sensa zilizopita ambazo ongezeko la watu lilikuwa ni chini ya asilimia 3.2.

Amesema mpango huo unatakiwa uwekeze katika kupunguza umasikin, chakula cha kutosha lakini bahati mbaya kila kitu hakitoshi.

“Maana yake turejee katika miaka ya 1970, 1980, tuanze kuzungumzia suala la uzazi wa mpango halikwepweki lazima lifanyike,”amesema.

Ameshauri Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kuongezewa kazi ya kusimamia uzazi wa mpango.

MWANANCHI
Mh. Rais mwenyewe kasema tumeshuka, hatuko uchumi wa kati tena labda 2025 tutarudi tukijitahidi kasema..

Hivi Kafulila anahangaika kutafuta uteuzi usiku na mchana, hapati tena, kazi yake sasa hivi ni kusifia tu, akijua labda Mh. Rais Samia atamuona labda, akidhania ni enzi za mwendazake, kapotea njia sana Kafulila, sasa anampinga Mh. Rais Samia pia kasema hatuko uchumi wa kati tena, tume rudi nyuma, so Kafulila hapo anajiona tumbili wa kweli sasa.
 
Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameitaka Serikali kutolea ufafanuzi kuhusu Tanzania iko katika daraja gani la uchumi duniani ili kuondoa sintofahamu iliyopo.

Akichangia jana kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo pamoja na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka 2023/24, Mbunge wa Musumo Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo alisema Tanzania haiko tena katika uchumi waka kati.

Hata hivyo, akichangia leo Profesa Kitila amesema miongoni mwa mafanikio iliyoipata Tanzania ni kufikia uchumi wa kati mwaka 2021.

“Ni muhimu mheshimiwa waziri akalitolea ufafanuzi baadaye, tunasikia takwimu nyingine zinasema tumeshuka ni muhimu Serikali ikaliweka jambo hili vizuri. Si jambo la kupita hivi hivi leo,”amesema.

Amesema kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (WB), za mwaka 2021 nchi yetu ilikadiriwa kuwa na pato Tanzania lilikuwa ni Dola za Marekani Bilioni 67.78 na sio Dola za Marekani Bilioni 62.

Amesema ukifanya hesabu kwa idadi ya watu wa sasa inawapa kuwa pato la Mtanzania ni ni Dola za Marekani 1133.5 kwa mwaka na hivyo kuonyesha kuwa imepanda kidogo ukilinganisha mwaka 2020.

“Hoja kwamba tumeshuka haiwezi kuwa ni kweli. Ni muhimu tukalinda mafanikio yetu kwa wivu mkubwa sana. Ningeomba mheshimiwa Waziri atakapohitimisha, atolee hoja nzinto ya kueleweka ili nchi isibabaike kama uchumi umeshuka ama uko pale,”amesema.

Aidha, amesema suala la kupambana na umasikini ni muhimu lakini kwenye mpango haionyeshi mikakati ya mahususi ya kupambana na umasikini.

“Ni muhimu mpango wa maendeleo uoneshe jitihada za kushughulikia umasikini bayana. Hata neno umasikini limetajwa mara moja (kwenye mpango) tena kwenye Tasaf (Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini),”amesema.

Ameishauri wataalam wawapelekee mikakati ya kupunguza umasikini nchini katika mpango wa maendeleo. Profesa Kitila amesema kumekuwa na ongezeko kubwa la watu katika sensa ya mwaka 2022 kuliko sensa zilizopita ambazo ongezeko la watu lilikuwa ni chini ya asilimia 3.2.

Amesema mpango huo unatakiwa uwekeze katika kupunguza umasikin, chakula cha kutosha lakini bahati mbaya kila kitu hakitoshi.

“Maana yake turejee katika miaka ya 1970, 1980, tuanze kuzungumzia suala la uzazi wa mpango halikwepweki lazima lifanyike,”amesema.

Ameshauri Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kuongezewa kazi ya kusimamia uzazi wa mpango.

MWANANCHI

Mwambieni Mama kakubali tumeshushwa.
 
Kitila mkumbo ... anaongea kisiasa na siyo kiuchumi, GDP haiwezi kukuwa kama nchi inaendelea kuomba misaada,
Bila kuwa na mkakati wa uzalishaji mali, na kusafirisha bidhaa zetu nje ya nchi..., na kujitosheleza kimaitaji ya ndani.

Prof muhongo aliongea kiuchumi na kisayansi zaidi, tofauti na siasa za kitila vilevile kuwa prof haina maana kila kitu unajua kimsingi ni expert kwenye taaluma yake elimu tuu.... uchumi ahachie wachumi
 
[mention]Mwigulu Nchemba [/mention] chukueni ushauri wa Prof Muhongo wezesheni kitengo cha jiolojia cha utafiti sio tume ya madini maana tume haina wataalamu wengi wenye weledi wafanye utafiti tupate vyanzo vingine vya mapato kukimbizana na sigala, soda, bia, miamala ya wananchi ni kujipa laana maana sio endelevu mtambana mwananchi na kuongeza gharama bure za maisha bila sababu, huwezi kua na rasilimali ukategemea vitozo vidogovidogo, ndio matokeo 60% ya bajeti mnazosoma hazifiki kabisa zinakotakiwa na kutegea mtego wakuingiza pesa halmashauri siku tatu halafu mnarudisha kiujanjaujanja kwa nini hazikwenda mapema ili miradi itekelezwe?

Hangaya ameshasema wananchi inabidi muanze kuzizoea tozo, kwasababu tozo zaidi (za barabara) ziko njiani zinakuja!
 
Back
Top Bottom