macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Tanzania ina wasomi jina wengi sana, hasa ngazi ya Phd na uprofesa. Siku hiziwako wengi sana na kuficha udhaifu wao wanakimbilia kwenye siasa. Mitaani hawawezi ku-survive kwa sababu elimu yao ni feki na hawawezi kuhimili ushindani!Hawa ndio wale 'ma-propesa' wanaoishi kwa kupiga magoti ili waishi!
Unapokuwa na elimu kama hii halafu unaishi kwa unafiki na undumilakuwili ni kuidharaulisha taaluma!
Ila ni Bora SII Cha kijambazi na utekajiHivi hii ya kura ya wazi si ndio machadema walikuwa wanawacheka na kuwazodoa ccm?
Hii chama kimekuwa cha kihuni sana
Labda mimi sijui ..Ameishika pabaya Chadema
Huyo mwache tu bwashee, nyani haoni kundule.Prof snaingilia Mahakama
Kwani bungeni wanapigaje kura?
Huyo ndie mtunga sera za Chadema ambazo inajivunia mpaka sasa.Bora aliwahi kukimbia pia angeshafurushwa
Ungechema Moja ya nchaliti ungeeleweka🤔Huyo ndie mtunga sera za Chadema ambazo inajivunia mpaka sasa.
Alisikitika Member kuvuliwa uanachama wa ccm huyu mende ajiangalie na ubunge ndio basi tenaMbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.
Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"
Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
Kitila Mkumbo, kama muumini wa Demokrasia, ungeanza na Katiba, taratibu na Kanuni walizojiwekea CHADEMA inazungumza nini kuhusu usaliti. Halafu huruma ifuate. Vinginevyo kila mwanachama atafanya anavyotaka akijua chama hakina Mwongozo wowote unaoelekeza taratibu za uendeshaji na nidhamu/uadilifu ndani ya chama. Utakuwa ni uholela huoMbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.
Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"
Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
Duh...!.Mbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.
Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje" - Prof. Kitila Mkumbo
Kimsingi kura ya uamuzi ni kura ya wazi, si kama kura ya uchaguzi.Prof snaingilia Mahakama
Kwani bungeni wanapigaje kura?
Kweli kabisaMbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.
Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"
Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
Mwingine huyu aliyeshiba akavimbiwaMbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.
Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"
Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
Msiambiwe ukweli, mkiambiwa basi ni baya na msemaji ni mbaya. Lini mtakubali kukosolewa? Mlisema magufuli alikuwa hataki kukosolewa lakini naona ninyi CHADEMA ni zaidi ya hayati magufuli. Anaewakosoa basi huyo ni adui wenu.Hawa ndio wale 'ma-propesa' wanaoishi kwa kupiga magoti ili waishi!
Unapokuwa na elimu kama hii halafu unaishi kwa unafiki na undumilakuwili ni kuidharaulisha taaluma!
Profesa njaa kali, mbona Mbungeni mnapitisha bajeti kwa kura za wazi ? Mbona CCM kwenye critical decisions wanatumia kura za wazi?"Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo