Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
But then kama body ya mbolea inakwenda na assets kuunganisha nguvu na bank ya kilimo ambayo ina madeni.
Halafu hata hujui serikali ina recoup vipi investment zake za gharama ya mbolea ambayo imetumia zaidi ya 700 billion mwaka uliopita, hela ambazo zilitakiwa kuwa short term investment.
Takes a lot kumuona jinsi huyo Bashe anavyoifilisi serikali.
Halafu eti jamaa ana miakili kweli.
Wenye akili wapo wengi serikalini watu kama hakina Dorothy Gwajima, ila Bashe sio mmoja wapo. hana uwezo, amuoni tu hasara huyu fala anazoipa nchi.
Mweeh
Halafu hata hujui serikali ina recoup vipi investment zake za gharama ya mbolea ambayo imetumia zaidi ya 700 billion mwaka uliopita, hela ambazo zilitakiwa kuwa short term investment.
Takes a lot kumuona jinsi huyo Bashe anavyoifilisi serikali.
Halafu eti jamaa ana miakili kweli.
Wenye akili wapo wengi serikalini watu kama hakina Dorothy Gwajima, ila Bashe sio mmoja wapo. hana uwezo, amuoni tu hasara huyu fala anazoipa nchi.
Mweeh