Kitila Mkumbo: Tunataka kuona tunasafirisha betri za magari ya umeme na sio madini yake. Anadi umasikini utakuwa 0 mwaka 2050 nchini

Kitila Mkumbo: Tunataka kuona tunasafirisha betri za magari ya umeme na sio madini yake. Anadi umasikini utakuwa 0 mwaka 2050 nchini

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Wakati akiongelea hali ya uchumi na mpango wa maendeleo bungeni leo Juni 13, waziri Kitila Mkumbo amesema wataendelea kuzingatia nafasi ya madini kukuza ujazo wa mauzo nje ya nchi na kuzingatia umuhimu wa madini ya kimkakati kutimiza azma ya dunia kuzalisha nishati safi na salama kwa mazingira.

Serikali imesema itaweka mazingira mahsusi kuvutia wawekezaji watakaokuwa tayari kujenga viwanda vitakavyoongeza thamani ya madini hayo nchini.

'Tunataka kuona tunasafirisha nje ya nchi betri za magari na sio madini yetu ya kimkakati. Tumesema wazi, wakati dunia inaelekea mwaka 2050 ikizungumzia kwa na 0 emission, tunataka kuona rasimali hizi zinatusaidia na sisi ifikapo mwaka 2050 tunakuwa 0 poverty' Alisema Kitila.
 
Nimepatq muda kidogo kumsikiliza Prof. Kitila. Nimehitimisha kwa watawala wetu hawajui maisha na mazingira yao hasa walioko vijijini.

Wanachoongea kwa takwimu ngumu sijui wamemlemga nani, lakini kingine kunachoonekana dhahiri ni kupanga au kuikiri kwa kuiangalia Dar kama ndio tanzania ilivyo.

Nitatoa mifano miwili, ikitokana na alichowasilisha prof. Huyu leo bungeni.
1. Kuwa uzalishajj wa umeme nchini umeongezeka baadaya vyanzo kadhaa kuanza uzalishaji.
Ametaja Mradi wa Rusumo wilyani Ngara kuwa unazalisha megawati 80 za umeme. Hii sio kweli, mradi huu unaohusisha Rwanda na Burundi pia, unazalisha megawati 90.

Kila nchi inapata 27 megawati, hizo 80 zimetoka wapi? Pia umeme unazalishwa Ngara lakini tangu umeanza miezi sita iliuopita Ngara haina umeme.

Umeme umepelekwa Nyakanazi wilayani kakonko mkoani Kigoma na kuungwa kwenye gridi ya taifa lakini Ngara unakotoka umeme huo, hakuna umeme.

2. Uzaishaji wa chakula umeongezeka! Lakini hasemi serikali imechangia nini. Lakini kubwa ni soko. Hapa Ngara debe la mahindi ni tsh 30000! Lakini akijaribu kwenda Rwanda au burundi umbali kuanzia km o hadi 20 atakutana na vikwazo lukuki, kutoka serikalini ambayo haijachangia chochote kwa mkulima huyo.
 
Wakati akiongelea hali ya uchumi na mpango wa maendeleo bungeni leo Juni 13, waziri Kitila Mkumbo amesema wataendelea kuzingatia nafasi ya madini kukuza ujazo wa mauzo nje ya nchi na kuzingatia umuhimu wa madini ya kimkakati kutimiza azma ya dunia kuzalisha nishati safi na salama kwa mazingira.

Serikali imesema itaweka mazingira mahsusi kuvutia wawekezaji watakaokuwa tayari kujenga viwanda vitakavyoongeza thamani ya madini hayo nchini.

'Tunataka kuona tunasafirisha nje ya nchi betri za magari na sio madini yetu ya kimkakati. Tumesema wazi, wakati dunia inaelekea mwaka 2050 ikizungumzia kwa na 0 emission, tunataka kuona rasimali hizi zinatusaidia na sisi ifikapo mwaka 2050 tunakuwa 0 poverty' Alisema Kitila.
Aint no such thing as 0 poverty, aseme tu umaskini utapungua but not to 0
 
Wakati akiongelea hali ya uchumi na mpango wa maendeleo bungeni leo Juni 13, waziri Kitila Mkumbo amesema wataendelea kuzingatia nafasi ya madini kukuza ujazo wa mauzo nje ya nchi na kuzingatia umuhimu wa madini ya kimkakati kutimiza azma ya dunia kuzalisha nishati safi na salama kwa mazingira.

Serikali imesema itaweka mazingira mahsusi kuvutia wawekezaji watakaokuwa tayari kujenga viwanda vitakavyoongeza thamani ya madini hayo nchini.

'Tunataka kuona tunasafirisha nje ya nchi betri za magari na sio madini yetu ya kimkakati. Tumesema wazi, wakati dunia inaelekea mwaka 2050 ikizungumzia kwa na 0 emission, tunataka kuona rasimali hizi zinatusaidia na sisi ifikapo mwaka 2050 tunakuwa 0 poverty' Alisema Kitila.
Haya majangili ya CCM achana nayo ni maongo tupu
 
Wakati akiongelea hali ya uchumi na mpango wa maendeleo bungeni leo Juni 13, waziri Kitila Mkumbo amesema wataendelea kuzingatia nafasi ya madini kukuza ujazo wa mauzo nje ya nchi na kuzingatia umuhimu wa madini ya kimkakati kutimiza azma ya dunia kuzalisha nishati safi na salama kwa mazingira.

Serikali imesema itaweka mazingira mahsusi kuvutia wawekezaji watakaokuwa tayari kujenga viwanda vitakavyoongeza thamani ya madini hayo nchini.

'Tunataka kuona tunasafirisha nje ya nchi betri za magari na sio madini yetu ya kimkakati. Tumesema wazi, wakati dunia inaelekea mwaka 2050 ikizungumzia kwa na 0 emission, tunataka kuona rasimali hizi zinatusaidia na sisi ifikapo mwaka 2050 tunakuwa 0 poverty' Alisema Kitila.
Wizarani watendaji wnancheka kwamba huyu mwanasiasa tu miaka yake 10 ikipita hana mda na hiyo wizara wala ahadi alizotoa..
 
Back
Top Bottom