Kitimoto inanishusha kiuchumi

Ndio.naposhangaa mzee mwenzangu waganga wanajua kukataza vitu vitamu wanataka wapelekewe wao
Mheshimiwa, ulishaona mganga anaagiza fungu la mchicha au debe la maharage kwa ajili ya dawa?!! Ila mganga anayekwambia usile kitimoto ni hatari sana aisee!!!
 
Mheshimiwa, ulishaona mganga anaagiza fungu la mchicha au debe la maharage kwa ajili ya dawa?!! Ila mganga anayekwambia usile kitimoto ni hatari sana aisee!!!
Lazima wakukataze maana hawapatani nacho hata ukipewa dawa zao sharti la kwanza usile kitimoto
 
Tatizo sio kitimoto tatizo ni hii awamu biashara za ujanja ujanja zote zinaanguka maana kodi inalipwa, purchasing power imeshuka. Watu wamepunguza kununua so obvious maduka yataporomoka tu. Hapo kitimoto kina kosa gani unless biashara zako zinaongozwa na masharti ya waganga na walikukataza kula mdudu wewe umekahidi
 
Yale majini yake ya chuma ulete nakimbia hayapatani na mdudu.
 
Ww sema ukwel wako ya wezakuwa uliingia mkataba na xhetan alafu ukafunja maxharit yake hadi akaamua kukunyangany hizo Mali alizo kup mulidie mungu wako utubuui zambi zako utasahemewa
 
MKUU,BADO PAJERO UNAYO?
 
MKUU NI KITU GANI MPAKA LEO HAUJAUZA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…