Kitimoto inanishusha kiuchumi

Kitimoto inanishusha kiuchumi

kaburi jeusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2017
Posts
258
Reaction score
145
Jamani waumini wa JF naombeni ushauri niliacha kula NYAMA ya kiti moto kwa kipindi kisicho pungua miaka 16 lakini nnikarudia kula tena nna kama miezi 3 sasa kilicho tokea naona kama nayumba kiuchumi maduka 2 limebaki 1 nyumba 3 nimeuza 1 Trekta nimeuza juzi tu nilikua na ngombe 8 juzi 3 zimegongwa na gari na A/c yang haitamaniki kabsa na sasa kafika MTU Leo anahitaji nimuuzie kapajero kangu JR II ,binafsi namashaka na ulaji wa kitoweo hiki.nipeni ushauri waumini wenzangu.
 
Kwa hiyo unakula kitimoto unalipa duka?
 
Kwakweli... nguruwe wa watu wala hawana habari. Naona watu wamechoka kumsingizia shetani sasa wamehamia kwa kitimoto.
Daah walimwengu wanavituko sasa Nguruwe kaanza kusingiziwa inaonekana jamaa kavunja masharti miaka 16 hahahaha na sharti lenyewe kitimoto
 
Daah walimwengu wanavituko sasa Nguruwe kaanza kusingiziwa inaonekana jamaa kavunja masharti miaka 16 hahahaha na sharti lenyewe kitimoto
Huyu atakuwa kadanganywa na mganga wa kienyeji...

Ile kinga ya ukimwi inawezaje kuleta nuksi, kwa mfano??
 
Jamani waumini wa JF naombeni ushauri niliacha kula NYAMA ya kiti moto kwa kipindi kisicho pungua miaka 16 lakini nnikarudia kula tena nna kama miezi 3 sasa kilicho tokea naona kama nayumba kiuchumi maduka 2 limebaki 1 nyumba 3 nimeuza 1 Trekta nimeuza juzi tu nilikua na ngombe 8 juzi 3 zimegongwa na gari na A/c yang haitamaniki kabsa na sasa kafika MTU Leo anahitaji nimuuzie kapajero kangu JR II ,binafsi namashaka na ulaji wa kitoweo hiki.nipeni ushauri waumini wenzangu.
412008.jpg


Mafanikio yako umeyapata kwanjia ya ushirikina ukiachna na ushirikina utafanikwa.
 
Huyu atakuwa kadanganywa na mganga wa kienyeji...

Ile kinga ya ukimwi inawezaje kuleta nuksi, kwa mfano??
Ndio.naposhangaa mzee mwenzangu waganga wanajua kukataza vitu vitamu wanataka wapelekewe wao
 
Dawa za kulevya mnaziita kitimoto, Sianga endelea kuwashika pabaya
 
Back
Top Bottom