Kitimoto is overrated haina utofauti wala utamu kuliko nyama zingine..

Kitimoto is overrated haina utofauti wala utamu kuliko nyama zingine..

We kitimoto huijui, mmeuziwa mifuta mingi la hasha hujui kuipika. Ile inapikwa na mafuta yake babu kisha inarostiwa kiufundi unaweza shangaa watu kadhaa mkafuta kilo ya ugali
Wanaikosea sanna hyo unatakiwa kuipika kwa kuikaanga yenyewe mpaka inakuwa brown kabisa kisha unaweka wese lililotokana na kukaanga pemben huku umeshakatakata. Nyanya,pilipili hoho,karoti,vitungu,chumvi pembeni na pilipili mbuzi pembeni weka nyama ya mdudu katika sufuria weka na vitungu kaanga kwa muda kama dk 3 hv kisha weka nyanya,hoho,karoti,mbuzi pilipili. Funika mboga yako. Alfu subiri matokeo aiseee hapo kilo 3 za dona zinapotea bila chenga
 
We kitimoto huijui, mmeuziwa mifuta mingi la hasha hujui kuipika. Ile inapikwa na mafuta yake babu kisha inarostiwa kiufundi unaweza shangaa watu kadhaa mkafuta kilo ya ugali
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kweli aisee!
 
Kaka na we unakulaga?
Ndio mdogo ake....

Na imani pia unatumia [emoji39] [emoji39]
IMAG0179.jpg
 
Idad kubwa ya watu walao hyo kitu si wajinga bwa mdogo,..na ndomana kwenye baa inakua na special corner,sabab ina wateja weeeng,na hao wote si wajinga.ni nyama namba1 kuliwa dunian,..china na wanaongoza.
.so,sio wajinga wote hao walao
 
Mpk nahisikia inanukiaa[emoji39]ngoja nitoke kdg nikaitafuee
 
Kwa miaka kadhaa toka nikiwa mtoto mdogo hadi leo hii nimekua sili Kitimoto Japo mimi ni Mkristo mkatoriki wa kuzaliwa. Hii ilitokana na sababu zangu binafsi na sheria kwenye biblia ya inayosema...
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11:7


Hivyo nikawa sigusi kitimoto hata nyumbani hakijawahi kupikwa (Mama alikua Muislim kabla, hatak ata kuiona japo mkatoriki)
Basi kwenye Pasaka hii ya Juzi juzi apa jirani yetu mchaga Noah yake aliipiga Breakdown akawa anauuza Kilo kwa buku Saba za lumumba tu. Tukachukua na sisi washkaji kilo 2 hivi. Nami nikasema ngoja nionje huyu mdudu ambao JF wanamsifia eti ni mtamu hasa ukishushia na Nyagi. Basi bwana ikaandaliwa vizuri sana hadi inaiitata nami nikasogea, nilijua nitakuta radha special kwenye pork (kulikua na supu, miskaki, iliyolostiwa, na ya pilau) asee mboga ya hovyo sana sijawah ona nilikula kidogo tu ikanishinda maana nilitema mate sana hafu nasikia imekaa rohoni. Ilibidi nile limao nzima ndo nikapata ahueni...

Nyama ya kuku itabaki kua nyama bora wakati wote kwangu hadi naacha hii dunia..

Da'Vinci: Young, Wild, Broke and Brainy.
Matendo ya Mitume 10:11-16
[11]akaona mbingu zimefunuka, na chombo kikishuka kama nguo kubwa, inatelemshwa kwa pembe zake nne hata nchi;
[12]ambayo ndani yake walikuwamo aina zote za wanyama wenye miguu minne, na hao watambaao, na ndege wa angani.
[13]Kisha sauti ikamjia, kusema, Ondoka, Petro, uchinje ule.
[14]Lakini Petro akasema, Hasha, Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisi.
[15]Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi.
[16]Jambo hili likatendeka mara tatu; kisha kile chombo kikapokewa tena mbinguni.
 
Kwa miaka kadhaa toka nikiwa mtoto mdogo hadi leo hii nimekua sili Kitimoto Japo mimi ni Mkristo mkatoriki wa kuzaliwa. Hii ilitokana na sababu zangu binafsi na sheria kwenye biblia ya inayosema...
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11:7


Hivyo nikawa sigusi kitimoto hata nyumbani hakijawahi kupikwa (Mama alikua Muislim kabla, hatak ata kuiona japo mkatoriki)
Basi kwenye Pasaka hii ya Juzi juzi apa jirani yetu mchaga Noah yake aliipiga Breakdown akawa anauuza Kilo kwa buku Saba za lumumba tu. Tukachukua na sisi washkaji kilo 2 hivi. Nami nikasema ngoja nionje huyu mdudu ambao JF wanamsifia eti ni mtamu hasa ukishushia na Nyagi. Basi bwana ikaandaliwa vizuri sana hadi inaiitata nami nikasogea, nilijua nitakuta radha special kwenye pork (kulikua na supu, miskaki, iliyolostiwa, na ya pilau) asee mboga ya hovyo sana sijawah ona nilikula kidogo tu ikanishinda maana nilitema mate sana hafu nasikia imekaa rohoni. Ilibidi nile limao nzima ndo nikapata ahueni...

Nyama ya kuku itabaki kua nyama bora wakati wote kwangu hadi naacha hii dunia..

Da'Vinci: Young, Wild, Broke and Brainy.
Kama ulizoe kusoma agano la kale nadhani ni wakati wa kusoma agano jipya sasa.
 
Back
Top Bottom