Umenifanyia vibaya mkuu. Miharage nilopika sijui kama nitaweza tena kulaKama yupo dar mwambie karib mandao aone makange ya mdudu,kama ataacha kuja kuleta mrejisho hapaView attachment 744184View attachment 744185
Wanaikosea sanna hyo unatakiwa kuipika kwa kuikaanga yenyewe mpaka inakuwa brown kabisa kisha unaweka wese lililotokana na kukaanga pemben huku umeshakatakata. Nyanya,pilipili hoho,karoti,vitungu,chumvi pembeni na pilipili mbuzi pembeni weka nyama ya mdudu katika sufuria weka na vitungu kaanga kwa muda kama dk 3 hv kisha weka nyanya,hoho,karoti,mbuzi pilipili. Funika mboga yako. Alfu subiri matokeo aiseee hapo kilo 3 za dona zinapotea bila chengaWe kitimoto huijui, mmeuziwa mifuta mingi la hasha hujui kuipika. Ile inapikwa na mafuta yake babu kisha inarostiwa kiufundi unaweza shangaa watu kadhaa mkafuta kilo ya ugali
[emoji1] [emoji1] [emoji1]We kitimoto huijui, mmeuziwa mifuta mingi la hasha hujui kuipika. Ile inapikwa na mafuta yake babu kisha inarostiwa kiufundi unaweza shangaa watu kadhaa mkafuta kilo ya ugali
NakaziaHivi mwaipendea nini au yale mafuta? Mm naona kuku is the best nyama ever 😀😀😀
Kaka na we unakulaga?[emoji2] [emoji2] [emoji2] ukiwa na hamu siku moja nitafute twende container tukapate ya kuchoma na dona....
Ndio mdogo ake....Kaka na we unakulaga?
Msabato mimi
Yes nilijua hivyo dogo lake maana upande ule wengi ni wasabato....Msabato mimi
Nashangaa wewe hujakua msabatoYes nilijua hivyo dogo lake maana upande ule wengi ni wasabato....
Kwema lakni mdogo ake....
I was but nilibadili maana kusoma pale kwa miaka minne lazma utakuwa tuNashangaa wewe hujakua msabato
Matendo ya Mitume 10:11-16Kwa miaka kadhaa toka nikiwa mtoto mdogo hadi leo hii nimekua sili Kitimoto Japo mimi ni Mkristo mkatoriki wa kuzaliwa. Hii ilitokana na sababu zangu binafsi na sheria kwenye biblia ya inayosema...
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Mambo ya Walawi 11:7
Hivyo nikawa sigusi kitimoto hata nyumbani hakijawahi kupikwa (Mama alikua Muislim kabla, hatak ata kuiona japo mkatoriki)
Basi kwenye Pasaka hii ya Juzi juzi apa jirani yetu mchaga Noah yake aliipiga Breakdown akawa anauuza Kilo kwa buku Saba za lumumba tu. Tukachukua na sisi washkaji kilo 2 hivi. Nami nikasema ngoja nionje huyu mdudu ambao JF wanamsifia eti ni mtamu hasa ukishushia na Nyagi. Basi bwana ikaandaliwa vizuri sana hadi inaiitata nami nikasogea, nilijua nitakuta radha special kwenye pork (kulikua na supu, miskaki, iliyolostiwa, na ya pilau) asee mboga ya hovyo sana sijawah ona nilikula kidogo tu ikanishinda maana nilitema mate sana hafu nasikia imekaa rohoni. Ilibidi nile limao nzima ndo nikapata ahueni...
Nyama ya kuku itabaki kua nyama bora wakati wote kwangu hadi naacha hii dunia..
Da'Vinci: Young, Wild, Broke and Brainy.
Kama ulizoe kusoma agano la kale nadhani ni wakati wa kusoma agano jipya sasa.Kwa miaka kadhaa toka nikiwa mtoto mdogo hadi leo hii nimekua sili Kitimoto Japo mimi ni Mkristo mkatoriki wa kuzaliwa. Hii ilitokana na sababu zangu binafsi na sheria kwenye biblia ya inayosema...
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Mambo ya Walawi 11:7
Hivyo nikawa sigusi kitimoto hata nyumbani hakijawahi kupikwa (Mama alikua Muislim kabla, hatak ata kuiona japo mkatoriki)
Basi kwenye Pasaka hii ya Juzi juzi apa jirani yetu mchaga Noah yake aliipiga Breakdown akawa anauuza Kilo kwa buku Saba za lumumba tu. Tukachukua na sisi washkaji kilo 2 hivi. Nami nikasema ngoja nionje huyu mdudu ambao JF wanamsifia eti ni mtamu hasa ukishushia na Nyagi. Basi bwana ikaandaliwa vizuri sana hadi inaiitata nami nikasogea, nilijua nitakuta radha special kwenye pork (kulikua na supu, miskaki, iliyolostiwa, na ya pilau) asee mboga ya hovyo sana sijawah ona nilikula kidogo tu ikanishinda maana nilitema mate sana hafu nasikia imekaa rohoni. Ilibidi nile limao nzima ndo nikapata ahueni...
Nyama ya kuku itabaki kua nyama bora wakati wote kwangu hadi naacha hii dunia..
Da'Vinci: Young, Wild, Broke and Brainy.