Kitimoto is overrated haina utofauti wala utamu kuliko nyama zingine..

Kitimoto is overrated haina utofauti wala utamu kuliko nyama zingine..

Kwa miaka kadhaa toka nikiwa mtoto mdogo hadi leo hii nimekua sili Kitimoto Japo mimi ni Mkristo mkatoriki wa kuzaliwa. Hii ilitokana na sababu zangu binafsi na sheria kwenye biblia ya inayosema...
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11:7


Hivyo nikawa sigusi kitimoto hata nyumbani hakijawahi kupikwa (Mama alikua Muislim kabla, hatak ata kuiona japo mkatoriki)
Basi kwenye Pasaka hii ya Juzi juzi apa jirani yetu mchaga Noah yake aliipiga Breakdown akawa anauuza Kilo kwa buku Saba za lumumba tu. Tukachukua na sisi washkaji kilo 2 hivi. Nami nikasema ngoja nionje huyu mdudu ambao JF wanamsifia eti ni mtamu hasa ukishushia na Nyagi. Basi bwana ikaandaliwa vizuri sana hadi inaiitata nami nikasogea, nilijua nitakuta radha special kwenye pork (kulikua na supu, miskaki, iliyolostiwa, na ya pilau) asee mboga ya hovyo sana sijawah ona nilikula kidogo tu ikanishinda maana nilitema mate sana hafu nasikia imekaa rohoni. Ilibidi nile limao nzima ndo nikapata ahueni...

Nyama ya kuku itabaki kua nyama bora wakati wote kwangu hadi naacha hii dunia..

Da'Vinci: Young, Wild, Broke and Brainy.
utamu hakiliwi na kila mtu
 
Dunia nzima Ukitoa utamu wa kugegedana, kinachofuata ni utamu wa kitimoto
 
Mi naomba nikupe ofa pale Rudy's farm kunduchi karibu na ledger plaza ili ufute hii kauli yakl
 
Dah, njoo Nakupeleka pale Madoto Kigogo, Yule Mzee anapika kwa order Yaani kama Hujaweka order yako usitie Mguu, order inatolewa week before...
 
Ukio a kitu kinaitwa haramu basi ujue ni kitamu saaaana.Mangi nshamwagiza kilo moja na ugali,naenda kuanza kazi baada ya lisaa karibu huku kwetu
 
Dah, njoo Nakupeleka pale Madoto Kigogo, Yule Mzee anapika kwa order Yaani kama Hujaweka order yako usitie Mguu, order inatolewa week before...
Njoo unipitie hapa Kwa mustapha
 
Back
Top Bottom