KITIMOTO KUPANDA BEI WAKATI WA MFUNGO MNATUAMANISHA NN 11000-15000..SERIKALI MTUSAIDIE

KITIMOTO KUPANDA BEI WAKATI WA MFUNGO MNATUAMANISHA NN 11000-15000..SERIKALI MTUSAIDIE

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Habari za uzima
Nkauliza tu mbona Hawa wah wanaouza kitimoto wakatili hivyo

Toka tar 5 kitimoto inepanda JUMLA Toka 8000 mpaka 11000

Kawaida Toka 12000-15000

Hivi hamna dini NYIE wauzaji

Mheshimun Mungu huu sio mda WA KUONGEZA bei ya vyakula kabisa
 
Hata wakabaji hawapo Usiku shwari!
Nilicho ng'amua wanaotukaba ni Hawa waliofunga Ambao ni sala.5 Sababu mateja, panya squads and the like Huwa hawafungi.
 
8BD01C1B-183E-4715-AA20-49D441CA0D77.jpeg
 
Back
Top Bottom