Pesa HaramuBiashara ya mwendokasi na hao watoto ndio faida yenyewe maana unaambiwa akizaa mzao mmoja wamepungua sana anazaa watoto 12 yaan hapo ndio amezaa wachache, sasa piga hesa kila mmoja akikua kwa ajili ya kutafunwa km kitoweo ukamuuza 800k kila mmoja una faida kiasi gan?
800k × 12 =?
Hapo bado haujakodisha madume kwenda kuyapandisha kwa majike
Una hakika fusebox kichwani haijaungua?kitimoto haraaam haifai mungu kakataza lakini ubishi wabinadamu wanampinga Hadi mungu utaskia jitu linasema kitimoto tamu kuliko nyama yoyote ilimladitu ambishie mungu uzuli inajulikana ukila kitimoto ukifa nimotoni Haina kuuliza kwahio endeleeni
fuse ipovizuri ndomana imekuletea motoUna hakika fusebox kichwani haijaungua?
Sawa Afisa Utumishi wa Hapo Motonikitimoto haraaam haifai mungu kakataza lakini ubishi wabinadamu wanampinga Hadi mungu utaskia jitu linasema kitimoto tamu kuliko nyama yoyote ilimladitu ambishie mungu uzuli inajulikana ukila kitimoto ukifa nimotoni Haina kuuliza kwahio endeleeni
ili uwesalama bwana filipo acha hio kitu na uhame hukoulipo
Wewe endelea kusema haramu ila kuna wenzio wanajenga mijengo kupitia huyo mnyama na maisha yanasonga kikubwa pesa inaingia hio haramu unaijua wewe tu kwa wenzio ni halali na anapendwa sio kawaidaPesa Haramu
lin na wap Mungu alisema kitimoto haram ?kitimoto haraaam haifai mungu kakataza lakini ubishi wabinadamu wanampinga Hadi mungu utaskia jitu linasema kitimoto tamu kuliko nyama yoyote ilimladitu ambishie mungu uzuli inajulikana ukila kitimoto ukifa nimotoni Haina kuuliza kwahio endeleeni
usiwafanye wavaa kobaz wakatenda dhambi aseeBiashara ya mwendokasi na hao watoto ndio faida yenyewe maana unaambiwa akizaa mzao mmoja wamepungua sana anazaa watoto 12 yaan hapo ndio amezaa wachache, sasa piga hesa kila mmoja akikua kwa ajili ya kutafunwa km kitoweo ukamuuza 800k kila mmoja una faida kiasi gan?
800k × 12 =?
Hapo bado haujakodisha madume kwenda kuyapandisha kwa majike
mbona typing yako km vile hizo 800k zinakutoa udenda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pesa Haramu
moto ndo upo wap mvaa kobaz ?fuse ipovizuri ndomana imekuletea moto
We jamaa sjawai kukuelewa na sitakaa nikuelewe... Yani Kila uchwao kufungua thread za kusababisha waislam na dini yao kutukanwa... Uko juu hauko sawa nadhan... Mkatoliki gani wewe una mambo ya kiwaki hivi... Unavyotumia na hiyo username ya Juma bas vichwa panzi wote wanaunga wakidhani ni muislam... Shame on youKatika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Muarabu wap... Myahudi huyo... Furaha yake inategemea kudhalilishwa kwa Iman nyingneUarabu unakutesa
Unafiki umewajaa wale jamaa wavaa vipedo na kobaziMbona Mbususu na tigo zinauzwa kila sehemu na hakuna lawama wala malalamiko.
Haramu kwako kwa wengine halali tuvumiliane tu.
Bonge la bangoSema wote tunamkula huyu jamaa , aibu tu na UNAFIKI flani ila wote tunamgongaView attachment 2396511
MduduTuheshimu imani za wengine ndio uungwana
tulia wee kaaafir mla kitimotomoto ndo upo wap mvaa kobaz ?
unataka tuuze msaafuKatika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?