Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 4,409
- 6,773
Wen
Wenye Dini Zao wapo wamoja na wana heshimu imani za wengine ! Sisi Waabudu Mizimu kama asili yetu tunajifanya wafia dini kuliko wenyenazoKuna Imani zingine za kipumbavu sana.
Yaani wakifunga TV zote kazi kutangaza funga yao, wataomba vyakula vipunguzwe bei, watu wasile kwa uhuru mchana.
Kitimoto haiuzwi chumbani mwako, haiuzwi uani mwako, haiuzwi kwenye ofisi za umma, haiuzwi kwenye maduka yenye bidhaa mchanganyiko.
Yet mnataka tuuziane chumbani kwetu
Hivi mna matatizo gani enyi wanafiki?