Ila kuna mjamaa aliniambia, kadri umri unavyokuwa mkubwa ule uwezo wa mwili ku sense harufu na ladha unapotea.Aisee msema ukweli mpenzi wa Mungu, utamu wa kitimoto harufu ile.
Sasa siku hizi unakula kitimoto ila ni kama nyama ya ng'ombe tu.
Kipindi sie tunakua, miaka hiyooo, mzee basi akirudi na kitimoto nyumbani ile harufu tu inatosha kuwaamsha na kuwafanya mkae ubalazani kusubiri muitwe mtoe vyombe angalau ule vile vipisi vinavyobaki.
Kitimoto ya sikuhizi haina kabisa ile harufu yake original, wote mnaohusika na hili mnatufedhehesha sana sie wadau wa huyu mbuzi mkatoliki.
Nimemaliza.
Hapana mkuu, naagiza kitimoto kabisa lkn inakua hovyo, haina harufuWewe itakua unalishwa kondooView attachment 2613538
Hii nikweli kabisaUsisahau pia majiko mengine wapishi wanaweka tangawzi, vitunguu na soy sauce.
Hii itakua kweli, na ukiangalia haya madawa na masindano ya kukuza wanayotumia, yanachangia sana kupoteza natural flavorSiku hizi nguruwe wanafugwa ndani ya banda mwanzo mwisho. Wanakula chakula cha aina Moja tuuu au wakipedelewa aina mbili tatu. Harufu na utamu utoke wapi?
Zamani nguruwe linazunguka linakula kila kitu mtaani mpaka nyama yake inakuwa na utamu wa kila namna!
Mhhhh... kama nimefika huko basi nisingekua natumia hata JF, ningekua kizee cha kutisha. Na sio mm pekee, kuna wadau wangu wengi tu wanasemaga kuhusu hiloIla kuna mjamaa aliniambia, kadri umri unavyokuwa mkubwa ule uwezo wa mwili ku sense harufu na ladha unapotea.
Aisee msema ukweli mpenzi wa Mungu, utamu wa kitimoto harufu ile.
Sasa siku hizi unakula kitimoto ila ni kama nyama ya ng'ombe tu.
Kipindi sie tunakua, miaka hiyooo, mzee basi akirudi na kitimoto nyumbani ile harufu tu inatosha kuwaamsha na kuwafanya mkae ubalazani kusubiri muitwe mtoe vyombe angalau ule vile vipisi vinavyobaki.
Kitimoto ya sikuhizi haina kabisa ile harufu yake original, wote mnaohusika na hili mnatufedhehesha sana sie wadau wa huyu mbuzi mkatoliki.
Nimemaliza.
Wazungu haya mambo hawali, niliwahi kuona restaurant moja kwenye TV ipo New York, wale jamaa wameinvest kwa kondoo wanaokuzwa naturally na nyama zao wakichinjwa zinatunzwa kabisa na kuuzwa kwa order maalum. Sasa nadhan kuna ambao watakua wanafanya hivyo hata kwa pork na nyama nyingineG.M.O
Uongo fanya utafiti vizuriWazungu haya mambo hawali, niliwahi kuona restaurant moja kwenye TV ipo New York, wale jamaa wameinvest kwa kondoo wanaokuzwa naturally na nyama zao wakichinjwa zinatunzwa kabisa na kuuzwa kwa order maalum. Sasa nadhan kuna ambao watakua wanafanya hivyo hata kwa pork na nyama nyingine
Aisee msema ukweli mpenzi wa Mungu, utamu wa kitimoto harufu ile.
Sasa siku hizi unakula kitimoto ila ni kama nyama ya ng'ombe tu.
Kipindi sie tunakua, miaka hiyooo, mzee basi akirudi na kitimoto nyumbani ile harufu tu inatosha kuwaamsha na kuwafanya mkae ubalazani kusubiri muitwe mtoe vyombe angalau ule vile vipisi vinavyobaki.
Kitimoto ya sikuhizi haina kabisa ile harufu yake original, wote mnaohusika na hili mnatufedhehesha sana sie wadau wa huyu mbuzi mkatoliki.
Nimemaliza.
Kula kitimoto ni dhambiAisee msema ukweli mpenzi wa Mungu, utamu wa kitimoto harufu ile.
Sasa siku hizi unakula kitimoto ila ni kama nyama ya ng'ombe tu.
Kipindi sie tunakua, miaka hiyooo, mzee basi akirudi na kitimoto nyumbani ile harufu tu inatosha kuwaamsha na kuwafanya mkae ubalazani kusubiri muitwe mtoe vyombe angalau ule vile vipisi vinavyobaki.
Kitimoto ya sikuhizi haina kabisa ile harufu yake original, wote mnaohusika na hili mnatufedhehesha sana sie wadau wa huyu mbuzi mkatoliki.
Nimemaliza.