lakini watalipwaje kwa sheria mpya wakati uamuzi umefanyika kwa sheria ya zamani? wenye kufahamu sheria nifafanulieni tafadhali...
Kama kuna mtu anayo compulsory acquisition act atuwekee hapa; nielewavyo mimi ni kwamba....compensation package ita-reflect ile market value ya wakati land ilipokuwa officially acquired....ofcourse it depends pia na location...i.e. commercial, residential or industrial plus na whatever mali iliyokuwepo kwenye ardhi hiyo i.e. nyumba, mimea ya thamani........n.k
kuchelewa kwa serikali kuwalipa.....in a sense serikali ilitakiwa iwafikirie wananchi hao kwa ku-add interest (compounded)....kwa kuwa si kosa la wananchi hao........
kwasababu walijafanyiwa tena tasmni upya nadhani ilikuwa mwaka jana mwanzoni na kama walikuwa wanlijua hilo kwania kipindi kile (awamu ya kwanza) waliposema wanataka kupanua kiwanja hawakuwalipa kipindi kilekile waje wawatese weeeee halafu waseme wanwalipa now hii sio haki.
geuza upande wapili wa shilingi ungekuwa wewe ungefanyaje??
inawezekana kabisa kulikuwepo na makubaliano (MoU) baina ya serikali na wananchi husika..........nasema hivi kwa kuwa
1.kulikuwepo na dispute kutoka kwa wananchi kuhusu kiwango (value) cha compensation.......
2. Land ilipokuwa acquired for the first time......wengi wa wamiliki original wakaamua kuuzia watu wengine....(in this circumstances hawa watu hawastahili hata senti...in my opinion)
inawezekana wakti land inakuwa acquired most of it haikuwa na kitu i.e. pori and thus low compensation value (nadhani mnaelewa cost ya ardhi kwa bei ya serikali)
NOTE:
1. kwa jinsi sheria za umiliki wa ardhi zilivyo........ni ngumu sana kuishinda serikali..........but you can always defend your case.
2. Kudai fidia kwa kutumia kiwango cha sasa (i.e current market value)............its not fair for the rest of walipa kodi..........
Pendekezo
WATU WALIPWE FIDIA KWA MARKET VALUE YA ZAMANI PLUS INTEREST ofcourse notwithstanding makubaliano yaliyokuwepo.
kumzuia JK barabarani si tija (japokuwa message is sent)..........kwa kuwa serikali ina utaratibu wake............na huu utaratibu umewekwa makusudi ili ku-protect interests zetu sote.........