FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Mkuu si unajua tena hii sirikali yetu ikiamua kitu imeamua?
Vijana wa hapa jirani na kipawa (FFU) ndio walikuwa na haka kajizoezi maana yamekaa muda mrefu kwenye ile stoo yao hayajatumika nao hawajafanya mazoezi ya kupiga na kukamata watu.
Ili muheshimiwa apite asibughuziwe.
Wameona hiyo ndio njia sahihi ya kuwatawanya wananchi but hali halisi walikuwa wafunge barabara wakatu mkuu anaporejea kutoka butihama ili wamweleze kilio chao kwanini serikali yake haiwatendei haki hao wakaazi wa huku Kipawa.
Kwasababu amechoka anahitaji kupunzika
Umuhimu wake ni kupita kwenda Ikulu .......
huyu mheshimiwa kwa nini nae asisime hata 1 min tu na kuchonga na raia wake?