Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Now yupo anahustle, ili tupate Mikasa mingine toka kwakeHuyu mwamba alikuwa na simulizi za Mikasa konki sana
Kumbe ulisoma😅🧢Ile ishu ya kumwekua mwekua ilikuwa konki sana!
Yeah 😅Kuna ile ya kipande cha kuzuia uchawi ..kikawa kinabalu kila mchawi akiwa eneo hilo
Aisee napaswa angalau Mara moja kwa mwezi atutembeleeAtakua kazini mbali na mitandao
Yupo kila siku last seen, ni dk 45 wakati naandika hii comment, wewe uzi wako ni dk 31. Anakuja sasa hvAisee napaswa angalau Mara moja kwa mwezi atutembelee
Kumbe! Nikadhani hayupoYupo kila siku last seen, ni dk 45 wakati naandika hii comment, wewe uzi wako ni dk 31. Anakuja sasa hv