Kitoto cha 2006 kimegonga mwamba kwa Likud

Kitoto cha 2006 kimegonga mwamba kwa Likud

Hapo sasa unajizungumzia wewe na sio mtoa mada. Kuna wanaume wanaota hadi mamilioni seuze laki moja. Akina Hamisa wanahongwa milioni kumi ma ushee huko.

Dunia hii kama huhongi utakuwa unatembea na vichaa
Hata ww umejizungumzia experience yako, kuwa ukiachwa na buzi unaumia. Kuna wanawake hata hawawazi kuhongwa
 
Mkuu bora nife masikini ila sio kufanya uzinifu na vibint masikini kwanini ni exploit umasikini wao kwa faida yangu, kwani amna ma singo maza wenye nyota za pesa niendee hao kiliko kuharibu watoto wawenzako walioko under age, kwa kutumia udhaifu wao wa akili na umasikuni.
Mkuu ningelikuunga mkono kama ungelaani moja kwa moja uzinzi.

Lakini hili la kuwagroup wanawake sikubaliani nalo, ama nadhani haujalifanyia utafiti na kupata cltn sahihi ya unachokitetea.

Maana wanawake hawana umri kusema huyu katulia, bali utulivu ni tabia zao za kuzaliwa bila kujali age zao.

Mishangazi wengi ni wanawake waliofeli kitabia kuliko hata hao vinuka maziwa.

Nasema kama ulivyoapa wewe, kamwe siwezi kufanya mahusiano na mishangazi waliofeli kimaadili, afadhali nifanye mambo mengine.

Kuwa nao kimahusiano ni kujiongezea tu stress, hakuna utulivu wa maana unaoweza kuupata kwao.
 
Nimejikataza uzinzi mpaka siku akitokea mwanamke anayejihudumia mwenyewe nae anipende mwenyewe kama hatotokea nami uzinzi bye bye na sitanii hivyo vitoto vimenishobokea mpaka sasa wameishia kuniita mjomba na huu ni mwaka wa 15.Msiogope swala la kushobokewa kikawaida mimi ni mtu ninayejipenda kimwili na kimavazi
Au vipi?
 
Nimejikataza uzinzi mpaka siku akitokea mwanamke anayejihudumia mwenyewe nae anipende mwenyewe kama hatotokea nami uzinzi bye bye na sitanii hivyo vitoto vimenishobokea mpaka sasa wameishia kuniita mjomba na huu ni mwaka wa 15.Msiogope swala la kushobokewa kikawaida mimi ni mtu ninayejipenda kimwili na kimavazi.

Yanini kujiwekea Sheria ngumu namna hii kwenye mwili wako mwenyewe?
 
Mr Likud come back to your mind, uko 46yrs old utawezaje kulalala na bint wa miaka 18 ambae kwa mazingira yake angekua form two au form 1, na uka-enjoye sex kweli?? Hiyo ni "Cross generation sex" ×3. Na lengo lako sio kumsaidia huyu bint but to manipulate her. We ni muislamu gani kweli au mlokole wa aina gani, huna huruma na watoto wa watu unatumia akili na pesa kumrubuni mtoto wa watu wewe unaona ni ujanjanja ila huo ni ukatili mbaya kuliko hata jambazi.
ee bwana wee mbona hii mada ya LIKUD imekuuma sana, mm nina zaidi ya 50s na hivi vitoto ndio navitaka na navitumia, wale wa .com hadi 1999, siwataki
sio visumbufu na mtaji unampa kabisa, Mama yake unamjazia kibanda, km umeme hawana unawavutia, baadae unasepa zako km ni wife unajirudisha hakakufuati. binti ana miaka 24 unamlinganisha na mtoto
Ww anzisha mada za jao mashangingi wanaotembea kwenye mikoba na condom, vidonge vya ukimwi na wasiozaa tutachangia tukupe uzoefu achana na manungayembe safisha nyota km kina mfalme Suleiman
 
We mkuu vitoto vyenu vinaliwa na watu wazima we unaangalia vifurushi vya voda njoo ukemee hu ujinga ......[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji7]
tatizo liko wapi?
leo JF imeingiliwa, kuna Mada ya Aggrey shoga inachangamkiwa kule watu mnatukataza tusisafishe nyota mnataka tufuate mashoga? au wazee mipaja haina mvuto?
 
Nikiwa kama mwanamke ninasema binti wa miaka kumi na 8 ni mwanamke ambae anajitambua kabisa ndio maana hata Sheria imeruhusu hivyo. Tena Sheria ya ndoa ya Tanzania inasema mwanamke aolewe kwa ridhaa yake akiwa na miaka15 na kwa ridhaa ya wazazi wake akiwa na miaka 14.

Wala labda utakuwa mnafiki tu wanaume wote duniani wanapendaga wasichana wadogo
Mimi sijawahi kupenda hao watoto, sijawahi na siji kupenda watoto wadogo. Na uzee huu mtoto under 25 hata ikitokea nimemuweka, haimaanishi nampenda.
 
Likud naomba laki mdogo wangu .nikopeshe hata.nina nyota hatari
Mpaka nikuonje kwanza . Nyota yako ikiwa kali utapata mara kumi yake kila wiki. Kwa sababu actually ntakuwa nakupa" hela zako" mwenyewe😁😁😁😁
 
Mpaka nikuonje kwanza . Nyota yako ikiwa kali utapata mara kumi yake kila wiki. Kwa sababu actually ntakuwa nakupa" hela zako" mwenyewe😁😁😁😁
Ahaaa mbona dogo ulimpa kabla hujamuonja?naomba jamani
 
ee bwana wee mbona hii mada ya LIKUD imekuuma sana, mm nina zaidi ya 50s na hivi vitoto ndio navitaka na navitumia, wale wa .com hadi 1999, siwataki
sio visumbufu na mtaji unampa kabisa, Mama yake unamjazia kibanda, km umeme hawana unawavutia, baadae unasepa zako km ni wife unajirudisha hakakufuati. binti ana miaka 24 unamlinganisha na mtoto
Ww anzisha mada za jao mashangingi wanaotembea kwenye mikoba na condom, vidonge vya ukimwi na wasiozaa tutachangia tukupe uzoefu achana na manungayembe safisha nyota km kina mfalme Suleiman
😂😂😂😂😂

Jamaa atakuwa na matatizo huyo
 
Back
Top Bottom