ntagunga
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 704
- 285
Wadau wa afya salam.
Nini chanzo cha mtoto kuwa na kitovu kikubwa kama puto? Na je, mtu akisha kuwa na kitovu hicho, kuna dawa ya kukifanya kiwe kidogo?
Mtu anaweza fanyiwa upasuaji kukiondoa?
Natanguliza shukrani.
Siamini kama ni maumbile, naona kama kuna kitu kimekosewa. Ushauri wenu utasaidia
Nini chanzo cha mtoto kuwa na kitovu kikubwa kama puto? Na je, mtu akisha kuwa na kitovu hicho, kuna dawa ya kukifanya kiwe kidogo?
Mtu anaweza fanyiwa upasuaji kukiondoa?
Natanguliza shukrani.
Siamini kama ni maumbile, naona kama kuna kitu kimekosewa. Ushauri wenu utasaidia