Kitovu kutoka maji husababishwa na nini??

Kitovu kutoka maji husababishwa na nini??

Pole mkuu, nina ushauri kidogo kwenye hili,
Mwanangu alisumbuliwa na hili alivyozaliwa kitovu kilichelewa sana kupona japo alizaliwa muhimbili na wao ndo walikuwa wanamtibu walituahidi kitapona tu so wakatuambia tuhakikishe hakiingii maji wakat wa kuoga japo tulijitahd ila ilichukua muda kidogo still.
What i did nilienda morroco kwa dr. Masawe huyu ni mtaalamu wa watoto alitupokea vizur akamcheki mtoto na kutushauri yafuatayo
Moja kitovu hakikufungwa vizur wakati wa kuzaliwa na pia according to yeye pia wakati kinakatika kuna kama kimfupa kama kilibaki so akasema hata kama tungempaka dawa kwa mwaka mzima kisingeweza pona mana kilikuwa kinafunga nje unaona kama kinapona ila after muda kama wiki unakuta tena kipo wazi na kidonda kibichi pamoja na kuosha kwa spirit na kuavoid maji kuingia.

Solution, what he did walifanya kama kukata na kukitoa kimfupa kile then wakapaka dawa kama ya kuchoma hvi ni dawa kama ya kuunguza ambayo hata ukimbesha mtoto nguo inachafua na kuacha doa ambalo halitoki, believe me we visited there twice and problem was solved permanently mpka kesho mtoto ana afya njema.
Kama upo Dar ni karibu mtafute dr masawe ni bingwa wa watoto atakusaidia yupo hospital yake karibu na jengo la airtel morroco pole na natumaini utatupa mrejesho.
MUNGU ni mwema jitahid ufike natumain atapona na pole sana kwa kuuguza Manka M
Mkuuu nitumie namba yake
 
Back
Top Bottom