Kitovu na Uume wa mtoto.

Kitovu na Uume wa mtoto.

Is mutation a sign inferiority/sub-human? Mutations can be caused by a number of things! And White people due to artificial life are more likely to be exposed compared to africans! Naomba reference ya hiyo theory yako. Nitafurahi kuisoma!
kama
kungekuwa na uwezekano ungekuwa unajibu kwa kiswahili ili tuelewe na sisi wengne
 
kama
kungekuwa na uwezekano ungekuwa unajibu kwa kiswahili ili tuelewe na sisi wengne
We are discussing evolution concept, if you can not gather anything from the post, then you are not in a position to contribute! It is not intended for you!
 
Mambo ya kitamaduni huisha kitamaduni na yana ukweli wake. Kwani hospital wanaposema fulani anaumwa mshipa wa ngiri huwa huo mshipa kweli anao?.
Lakini kitamaduni ngiri ndio mnyama anayetibu tatizo hilo.
Mkiwa porini mkimuona nyoka mkiwa na mwanamke ili nyoka asikimbie mumuue mwambie mke ashike ziwa.
Ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe but chunga sana kitovu kama kweli unatamani wajukuu.
 
Back
Top Bottom