Una kitambi au tumbo lako ni dogo kitovu chako kiko kwa nje!Ni nini husababisha kitovu kuwasha kwa ndani?
Hakitoi uchafu/hakina uchafu wala sioni chochote,nikiingiza kidole nafanya kukizungusha tu vinapoa maana naogopa kukuna vinauma,hakiwashi muda wote wala si kila siku ni mara mojamoja sana..ni hali ya kawaida au kuna tatizo?
Msaada tafadhali
Chocs
good'afternoon
Safisha vizuri kila wiki na maji ya moto/Uvuguvugu ukitumia sabuni ya Dettol na kitambaa cheupe laini,ila usisugue kwa nguvu maana kitovu ni kilaini sana hivyo ni rahisi kuchubuka then nipe feed back after two weeks.