Chocs
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 8,411
- 4,777
Ni nini husababisha kitovu kuwasha kwa ndani?
Hakitoi uchafu/hakina uchafu wala sioni chochote,nikiingiza kidole nafanya kukizungusha tu vinapoa maana naogopa kukuna vinauma,hakiwashi muda wote wala si kila siku ni mara mojamoja sana..ni hali ya kawaida au kuna tatizo?
Msaada tafadhali
Chocs
good'afternoon
Hakitoi uchafu/hakina uchafu wala sioni chochote,nikiingiza kidole nafanya kukizungusha tu vinapoa maana naogopa kukuna vinauma,hakiwashi muda wote wala si kila siku ni mara mojamoja sana..ni hali ya kawaida au kuna tatizo?
Msaada tafadhali
Chocs
good'afternoon
Last edited by a moderator: