kitu cha bei zaidi ulichonunua kwa hela yako

kitu cha bei zaidi ulichonunua kwa hela yako

Mimi hata nikinunua malapa roho inaniuma. Sipendi kujinunulia [emoji23][emoji23][emoji23] wananiita mchaga ila sio mchaga. Sema awamu hii wa kutununulia hamna. Tunaendelea kujinunulia wenyewe hadi biere ingawa roho inauma[emoji23][emoji23] unajitoa out muda wa kulipa bill roho inauma.

Najiambiaga laiti kama ningekua mwanaume sijui kama ningeweza kuhonga.
 
Mimi hata nikinunua malapa roho inaniuma. Sipendi kujinunulia [emoji23][emoji23][emoji23] wananiita mchaga ila sio mchaga. Sema awamu hii wa kutununulia hamna. Tunaendelea kujinunulia wenyewe hadi biere ingawa roho inauma[emoji23][emoji23] unajitoa out muda wa kulipa bill roho inauma.

Najiambiaga laiti kama ningekua mwanaume sijui kama ningeweza kuhonga.


Umetishaaa...hahahh...! mie ningekuwa men ningekuwa lofa sana nAtoa sana hela yaani!
ila mm nasemaga ningekuwa men huyo mwanamke wangu ajiandae kisaikolojia..ntampenda na kumcare sana sana..ila nikigundua kanfanyia wehu siku hyo hyo namuacha!
 
Umetishaaa...hahahh...! mie ningekuwa men ningekuwa lofa sana nAtoa sana hela yaani!
ila mm nasemaga ningekuwa men huyo mwanamke wangu ajiandae kisaikolojia..ntampenda na kumcare sana sana..ila nikigundua kanfanyia wehu siku hyo hyo namuacha!

Kumbe wakike wewe
 
Mimi hata nikinunua malapa roho inaniuma. Sipendi kujinunulia [emoji23][emoji23][emoji23] wananiita mchaga ila sio mchaga. Sema awamu hii wa kutununulia hamna. Tunaendelea kujinunulia wenyewe hadi biere ingawa roho inauma[emoji23][emoji23] unajitoa out muda wa kulipa bill roho inauma.

Najiambiaga laiti kama ningekua mwanaume sijui kama ningeweza kuhonga.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanawake pesa zetu ngumu sanaa [emoji23][emoji23][emoji23] watu wanoongoza kwa ubahili ni wanawake
 
Refrigerator nilinunua nikawa si itumii kutokana na miangaiko yangu ya hapa na pale nikaona ni gawe tu
 
Baada ya kashikashi za simu yangu kuibiwa niliyonunuliwa na sponsor’ mwaka jana December nikazama dukani nikanunua simu mpya dukani kwa hela yangu roho bado inaniuma sana[emoji26] na sasa zimeshuka bei tofauti na nilivyonunua 2018
 
Back
Top Bottom