kitu cha bodi,hivi kuna waliokosa?

Mbona mkopo ni pesa ndogo sana..sema kwa kuwa ce watanzania weng ni maskini ndo maana tunashoboka nazo...ila kijana alyesoma feza boys au gals huwezi kumkuta anashoboka eti kisa kapata mkopo!

Kwahiyo???utawakopesha au na wewe unaendelea kushoboka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…