Kitu chenye sauti kubwa!

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
Hakuna kitu chenye sauti kubwa duniani kama mfuniko wa sufuria jikon ukidondoka wakati unadokoa nyama jikoni.

nakuja [emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji39]
 
Hatari kweli! Ila haifikii sauti ya kikohozi chako mwenyewe wakati ukiwa unapiga chabo!
 

Attachments

  • 16998692_224029924728445_9008898582027720618_n.jpg
    16.1 KB · Views: 77
Kweli JF mnaniacha hoi, ukipiga chabo na chafya ni hatari kwani hiyo sauti inashinda Big Bang theory
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…