Kitu chenye thamani sana

APPROXIMATELY

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2021
Posts
2,035
Reaction score
2,715
Habari zenu.....

Binadamu wanaongezeka sana,ila aridhi haiongezeki,tena inazidi kupungua kila kukicha,kama unauwezo wekeza kwenye kununua aridhi sehemu tofauti tofauti,tena nunua kwa kufuata maendeleo ya mji yanavyokuwa,angalia ramani za mji ndo ununue..

Aridhi ukinunua leo baada ya miaka kadhaa huko mbele utaiuza kwa bei kubwa,gari halipandi thamani,BMW ilipotoka ilikuwa bei ghari ila now days imeshuka thamani sana.

Wekeza kwenye nyumba na aridhi,hakuna baba mwenye gari kuna baba mwenye nyumba tu..

APPROXIMATELY..
 
Sawaa ila kama unazo pesa za kuweka chini kwa muda wa miaka kumi hadi 15 mkuu hatua ya kwanza ya umasikini ni kumiliki kitu usichoweza kukiendeleza...
 
Sawaa ila kama unazo pesa za kuweka chini kwa muda wa miaka kumi hadi 15 mkuu hatua ya kwanza ya umasikini ni kumiliki kitu usichoweza kukiendeleza...
Kuendeleza kitu lazima ikupe faida.. kama umewekeza kwenye ardhi kila siku inakuwa thamani... Nayo ni faida tosha...

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…