Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 689
- 3,373
Kuna mzee wa heshima sana aliniomba nimsetie simu yake mambo fulani.
Kwa bahati mbaya inahusisha gallery, nilichokuta ni video za porn sijaamini kabisa na wala sijamuonesha dalili yoyote kua nimeona hadi leo.
Wa pili ni dada mmoja alipoteza simu yake hivyo akanipa email yake ni login ili nilog out katika divice zote, kisha nitafute picha ya risiti ya simu. nikaingia google photo daaa, nikakuta picha zake za uchi nyingi sana na nyingine video akicheza akiwa peke ake chumbani. yani kumbe watu wakijifungia ndani wanafanya mambo ya kijinga sana. sikumwambia na hakujua.
Tuliosomea computa twaona vingi
Kwa bahati mbaya inahusisha gallery, nilichokuta ni video za porn sijaamini kabisa na wala sijamuonesha dalili yoyote kua nimeona hadi leo.
Wa pili ni dada mmoja alipoteza simu yake hivyo akanipa email yake ni login ili nilog out katika divice zote, kisha nitafute picha ya risiti ya simu. nikaingia google photo daaa, nikakuta picha zake za uchi nyingi sana na nyingine video akicheza akiwa peke ake chumbani. yani kumbe watu wakijifungia ndani wanafanya mambo ya kijinga sana. sikumwambia na hakujua.
Tuliosomea computa twaona vingi