Mimi hata karata sijawahiKucheza bao. Sina hata idea. Huwa naona tu wanahamisha kete hapa wanaweka pale na maneno mengiiii!!
Tunafanana kwenye kupiga kura tuPombe
Kupiga kura
Kupima ukimwi
Kutumia saniizer
Kuvaa barakoa
Nk. Nk.
Mimi pia, huwa nakumbuka kwa maneno tu. Keki ya kwanza nimekula mwaka juzi alininunulia mwanaJfKeki ya bday yangu kwa mara ya kwanza nilikula last yr, kikundi kilininunulia bt mwenyewe sijawah kununua wala kuhangaikia na haijawah kunipa mawazo hyo siku maana siku zingine bday inapitaga tu hivi hivi kama sina plan yoyote.
Sijawahi kusex na mwanaume na haitakuja kutokea,[emoji777]
Sijawahi kwenda kiwanja chochote cha mpira kushangilia japo rafiki zangu wengi ni wana michezo, [emoji2359]
Sijawahi kuomba mtu nisiyemjua pesa,[emoji724]
Sijawahi kukataliwa nikitongoza, [emoji23]
Khaa jamani[emoji16][emoji16] kuna mambo kama mawili tunafanana kwa kiasi fulaniSijawahi kusex na mwanaume na haitakuja kutokea,[emoji777]
Sijawahi kwenda kiwanja chochote cha mpira kushangilia japo rafiki zangu wengi ni wana michezo, [emoji2359]
Sijawahi kuomba mtu nisiyemjua pesa,[emoji724]
Sijawahi kukataliwa nikitongoza, [emoji23]
Kwahio hata sikio hujatoboa?Kuvaa wigi, hereni.
Kunywa pombe
Kupigana
Kuimba mbele za watu(nina aibu tani 50k[emoji1])
Kucheza mziki kiwanjani(nacheza pekeangu chunbani maana hata kucheza sijui).
Orodha ni ndefu ila acha niishie hapa maana....
Mimi kwa sababu sijaingia nitakusimulia hadithi za kufikirika tu ndugu yangu.Hivi hii club inakuaje kwa jinsi unavyosikia,wanacheza uchi au wanakuwa na nguo ukiwalipa wanasaula?
Kuna watu kazi yao ni kusaka machimbo ya chabo,ni kama ugonjwa fulani hiviSijawahi kupiga chabo,,,,mabaharia huita kupiga deo....hivi ina raha gani WAKUU? kuna siku FUNDI RANGI kaanguka,,,, aliingia na kopo lake la rangi chumbani kwangu....halafu nipo na mtoto MKALI sana NAGEGEDA...fundi aliniharibia siku... DUU...kumbe alikuwa anapiga CHABO...
That's good, ila acha uvivu jifunze kubeba ndoo kubwa