KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Chaajabu sijasema kuachwa na nini..😅Ushakua hadi sugu kwa kuachwa lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chaajabu sijasema kuachwa na nini..😅Ushakua hadi sugu kwa kuachwa lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwezi amini mimi sijisikii kabisa kwenda hiyo sehemu sijui kwanini hataNiliwahi kwenda mara kadhaa na washkaji ila niliishia kuzunguka tu humo ndani ,halafu nikirudi kulala nabaki na makelele masikioni ,kichwa kizito,nikaacha,labda uwe unalewa ndio utafurahi
Na wa kukuoa anasubiri mpk mfanyane,sijui itakuwaje[emoji3]
Wewe ni ke au me? Kama ni me basi Kuna shida pahala.Nikirushiwa maneno,nakaa zangu kimya,,,,naogopa kupigwa nitaishia kulia tu
Sijawahi kugegeda na miaka yangu 25
Si mpaka basata wamepitisha au hujuiHaijawa kawaida ila watu wanajitoa ufahamu tu
Sipendi tuHupendi au ulikuwa unapishana na matukio tu?
Ugomvi sio mzuriYaan sipendi ugomvi