Ni Jumatatu ijayo sijui hata itakuwa tarehe ngapi[emoji16][emoji16] mwenye kalenda karibu anichekie chapHebu nikumbushe tena tarehe mi nifanye mambo aisee, maana huu ushamba si wa karne hii. [emoji16] [emoji16]
Haya GEMINI Girl! Itakuwa Tarehe 08th, jiandae sasa. 😁Ni Jumatatu ijayo sijui hata itakuwa tarehe ngapi[emoji16][emoji16] mwenye kalenda karibu anichekie chap
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16] [emoji16] now you are talking, maandalizi yanaanza keshoHaya GEMINI Girl! Itakuwa Tarehe 08th, jiandae sasa. [emoji16]
Nah. Thanx.Teh
Can I book for u a flight ?
Sijawahi kumuambia mwanafamilia yeyote kuwa nampenda
Sijawahi kutambulisha mpenzi kwa familia wala marafiki
Sijawahi kuvaa suruali kama mtoko
Sijawahi kukaa uchi mbele ya mtu yeyote ( ukiacha enzi za utoto)
Sijawahi kushiriki ibada yoyote nje ya ibada ya kikristo
Sijawahi kuingia na nondo kwenye mtihani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hizi zangu ni za maajabu shem?Hii thread inasababisha nicheke sana, yaani kuna sijawahi za maajabu humu
Walivyokukuta na kibendi ilikuwaje ?Sijawahi kumuambia mwanafamilia yeyote kuwa nampenda
Sijawahi kutambulisha mpenzi kwa familia wala marafiki
Sijawahi kuvaa suruali kama mtoko
Sijawahi kukaa uchi mbele ya mtu yeyote ( ukiacha enzi za utoto)
Sijawahi kushiriki ibada yoyote nje ya ibada ya kikristo
Sijawahi kuingia na nondo kwenye mtihani
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16] yataka moyo sana kutumia nondo aiseeHapo kwako nimefurahi kwa sababu ya issue ya kuingia na nondo.
Niliwahi kuingia na nondo nikiwa darasa la 6 halafu nikashindwa kuitumia, nilitetemeka sana siku hiyo. Ndo mwanzo na mwisho wa kuingia na nondo.
Nimechekaaaaaaa😂😂😂😂😂😂.
Nimechekaaaaaaa😂😂😂😂😂😂.
Unasex ukiwa na nguo unavua tuu chupi dyadya?
Huyo mpenzi anakulaje tunda sasa?Sijawahi kumuambia mwanafamilia yeyote kuwa nampenda
Sijawahi kutambulisha mpenzi kwa familia wala marafiki
Sijawahi kuvaa suruali kama mtoko
Sijawahi kukaa uchi mbele ya mtu yeyote ( ukiacha enzi za utoto)
Sijawahi kushiriki ibada yoyote nje ya ibada ya kikristo
Sijawahi kuingia na nondo kwenye mtihani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ielewe hivyo hivyo tu shemIla shem hiyo ya kukaa uchi sijaielewa!
Lazima nikuite😂😂Akikujibu niite tafadhali.
Ila shem hiyo ya kukaa uchi sijaielewa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaNimechekaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Unasex ukiwa na nguo unavua tuu chupi dyadya?
[emoji16][emoji16][emoji16] naomba tu uendelee kucheka maana sitakujibuNimechekaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Unasex ukiwa na nguo unavua tuu chupi dyadya?
Hata sijui, ungekuwa umenisoma kwenye komenti zangu nilizokuwa naunga mkono huko juu ungenielewa vyemaHuyo mpenzi anakulaje tunda sasa?