Hata ukiwa home bongo??Yoga Pants, sweetpants and Pajamas
Nyumbani popote navaa Darmian.Hata ukiwa home bongo??
πππππAvatar though..[emoji39][emoji39]
sijaoa bado..ila zile za come and stay forNyumbani popote navaa Darmian.
Mke wako anavaa nini akiwa nyumbani?
It is fireeee..hilo umbo la kibantu umelitoa kwa nani??..kwa bibi mzaa bibi au??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji4][emoji8]
hili la bibi mzaa babu ππIt is fireeee..hilo umbo la kibantu umelitoa kwa nani??..kwa bibi mzaa bibi au??[emoji23][emoji23]
sawa cutes eyes..keep hiyo shape basi hivyo hivyo mrembo.hili la bibi mzaa babu [emoji23][emoji23]
Sawa Darmian .sijaoa bado..ila zile za come and stay for
two days anavaaga kama uliyoipost..ni nadra sana kumkuta dada wa kibongo hana aina hiyo ya nguo kwenye collection yake
ππTamu sana jaribu utaona
Sijawahi kufanya birthday party
πππ Wewe ni kama mimi vyote hapo sijawahi fanya..!
Haha "eti ulibeba Dunia kichwani"
Tangu afetangu uzaliwe?
Duuh huyo noma, ila hata alivyokua mdogo hajawah tapika? Enzi zile unameza dawa chunguu 'klorokwin'Hii hata mimi sijawahi ifanya!
Nikiwa chuo kuna mate alijinasibu kuwa hajawahi tapika katika maisha yake yote, akapewa jina la 'non vomitter'
[emoji16][emoji16][emoji16] nimecheka maana mimi kulog in tu hapa nimetumia simu ya mtuMi sijawahi azima simu ya mtu kutumia
Mimi nimepigana shule ya msingi, kuanzia form one hadi hapa ninapoandika sijawahi kupigana au kutukanana na mtu hadharaniNimemaliza kusoma huku nacheka..
Nikupe pole Dada.. Mimi kupigana Ki ukweli labda nyakati za utoto ambazo sina kumbukumbu.. Ila nilipoanza kupata akili na kujitambua naweza kusema kupigana ni kitu ambacho sijawahi kwanza mimi ni muoga mno...