Kitu gani cha kutumia ili kurudisha lips katika rangi yake ya kawaida?

Kitu gani cha kutumia ili kurudisha lips katika rangi yake ya kawaida?

Kama unatumia ndumu,acha zitarejea katika hali yake ya awali kabla ya kuanza kuvuta.
 
Mkuu Kama huwa hauzami Uvinza ...........Basi itakuwa wamekuloga .......coz tatizo hilo huwapata wazee wa uvinza
 
Lips huwa zinaonesha haraka dalili ya ugonjwa au hali isiyo nzuri ndani ya mwili. Kama si hali ya kawaida ya SUSTAINED DEHYDRATION, basi utakuwa na condition fulani hatari kiafya, assuming hutumii ^v-two v-two^ hatari physical.
 
Acha kuvuta sigara,na bangi b.....ya wewe.

unahangaika kutafuta mchawi wako,ilihali unajiroga mwenyewe
 
Wewe ni ke au me? Tuanzie kwanza hapo. Au tuma picha tuone ili tujue ni nini na nini cha kufanya
 
Kama ni mvutaji wa bangi, jitahidi ukinyonga uweke nyota kama filter huku chini, na sigara punguza pia kiasi kama sio kuacha kabisa
 
Acha mtipombe mdogo wangu. Halafu jitahidi usiziache ziwe zimekauka tumia mafuta maalum ya lips although kwa kificho maana masela wakikuona watahisi umeshakuwa mnyonya dishes sharobaro, au tumia mafuta ya Nazi ni mazuri zaidi Ila unapaka lips then unafuta zising'ae lakini zinabaki na mafuta kwa mbali.
 
Back
Top Bottom