Kitu gani cha kutumia ili kurudisha lips katika rangi yake ya kawaida?

Kitu gani cha kutumia ili kurudisha lips katika rangi yake ya kawaida?

Anza kunywa kunywa maji ya kutosha. Maji yatasafisha ngozi na sumu. Pia epuka kuvuta visheri vya bangi.
 
Uvutaji wa bangi na sigara bila kutumia filtes hupelekea lips kuwa nyeusi na kuaribu muonekano mzuri wa mdomo. Pia kuna nature ya baadhi ya watu kadri wakuavyo kutokana kuendelea kukomaa kwa lips inayosabishwa na hali ya hewa (baridi kali) hubadirika na kua nyeusi.
 
Hivi akuna aina nyingine ya filter ukiachana na nyota
Nyingi tu, maamuzi yako tu. Ila wengi hupenda nyota kwavile tayari shada kashalimix na nyota.. ila nyingi sana wengine hukata filter za fegi n.k

Mimi si mvutaji lakini, hii ni kwa kuona kwa watu tu
 
Usiku ukiwa unataka kulala paka mafuta , jitahidi kula vitu vyenye vitamin C kama machungwa, juice ya limao, juice ya ubuyu. Pia usilambe lips na ulimi husababisha lips kuwa kubwa.
 
Tumia Lip scrub kusugua mara moja au mbili kwa wiki. Changanya sukari na mafuta ya nazi, unaweza kuweka na manjano kidogo ukasugua ndani ya muda kidogo utaona mabadiliko.
 
Fanya hio
IMG_20220214_111535.jpg
 
Acha mtipombe mdogo wangu. Halafu jitahidi usiziache ziwe zimekauka tumia mafuta maalum ya lips although kwa kificho maana masela wakikuona watahisi umeshakuwa mnyonya dishes sharobaro, au tumia mafuta ya Nazi ni mazuri zaidi Ila unapaka lips then unafuta zising'ae lakini zinabaki na mafuta kwa mbali.
Awe anapaka Pa kulala, hamuoni mtu.
 
Lips huwa zinaonesha haraka dalili ya ugonjwa au hali isiyo nzuri ndani ya mwili. Kama si hali ya kawaida ya SUSTAINED DEHYDRATION, basi utakuwa na condition fulani hatari kiafya, assuming hutumii ^v-two v-two^ hatari physical.
Mtoa mada daka point hii ☝️
 
sigara situmii mkuu
Unaweza usiwe unatumia sigara,ila ndumu unatumia,acha bangi,narudia tena,acha bangi,mi sivutagi,ila ukiniwekea wavuta bangi hapo,ukawachanganya na wasiovuta,nawatambua kwa ngozi zao tu mbali na midomo.
 
Back
Top Bottom