We ni noomaa, mzee umesearch ukaipata. Speaker zingine zinaenda vizuri tu mkuu, Hii kitu ni 7.2 channel, ina subwoofer mbili na sorrounding speaker saba. na wana suggest upate Hi -Res speakers ndo inakuwa bomba.
nimeiona mkuu. inamaana huwezi weka speaker zingine? maana wamesema output ni 165w kwa channel. ukipata speaker zenye hizo specification si zinaenda?
Ugonjwa wangu huuWe ni noomaa, mzee umesearch ukaipata. Speaker zingine zinaenda vizuri tu mkuu, Hii kitu ni 7.2 channel, ina subwoofer mbili na sorrounding speaker saba. na wana suggest upate Hi -Res speakers ndo inakuwa bomba.
Hii kitu mimi ni ulevi wangu.., napenda mziki kuliko mwanamke.Ugonjwa wangu huu
nimeiona mkuu. inamaana huwezi weka speaker zingine? maana wamesema output ni 165w kwa channel. ukipata speaker zenye hizo specification si zinaenda?
kwenye mtandao wa sony wanauza USD 599.99. kwa brand new.Bei gani hii kitu!????
USD 599.99 brand new.Bei gani hii kitu!????
mi mwenyewe mziki napenda sana na nahisi nimequalify kuitwa audiophile. nina kasony 5.1 watt 300 hakanikuni kabisa. inabidi nikitaka kuupgrade niifikirie hiyo machine.Hii kitu mimi ni ulevi wangu.., napenda mziki kuliko mwanamke.
Duh mkuu umenifurahisha kuiweka picha ya hyo organ naipenda hatari,lazima niipate ndan ya miaka miwili
Hii kitu na yenyewe ni nzuri ukiwa nayo home, ilikuwa ninunue sema nikaona ngoja niboreshe upande wa audio kwanza. Ila mi naona keyboard ni much better kuliko hiki, Kuna keyboard nyingi tu nzuri, Yamaha, Casio, Roland...., Kuna jamaa aliniambia duka la jeshi pale JKT vipo vizuri na bei nzuri tu. Hii kitu nzuri ukiwa nayo home.
Yah, inaonekan unapenda mziki, jipange tu mkuu uchukue machine heavy duty upate maximum utility.mi mwenyewe mziki napenda sana na nahisi nimequalify kuitwa audiophile. nina kasony 5.1 watt 300 hakanikuni kabisa. inabidi nikitaka kuupgrade niifikirie hiyo machine.