Kitu gani cha thamani ambacho panya aliwahi kukuharibia mpaka sasa unawachukia hata kuwaona

Kitu gani cha thamani ambacho panya aliwahi kukuharibia mpaka sasa unawachukia hata kuwaona

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Hawa wanyama wa ajabu sana waharibifu mpaka wanakeraa, wanaweza wakaingia kwenye begi wakaacha vitu visivyo vya maana wakatafuna vyeti vya shule au hela. kwakweli mimi nikiwaona hawakai kwa amani kabisa nitafanya kila jambo kuwasambaratisha.

 
NJE YA MADA.
Screenshot_20250131-190431_Lite~2.jpg
 
Kuna siku nimepigika vibaya mno, ndani nna vidagaa mafuta na kaunga kama nusu hivi, nikasema acha hili buku jero nikachukue viungo nije nitoe kitu. Nikapika ugali na dagaa nikawaunga vizuri walikuwa watam sana, si mnajua dagaa ukitia ndimu hilo harufu lake na utam nazi ikasome.

Nilipomaliza kupika nikafunika fresh kabisa nikasema acha nifuate maji ya kurefill nikafanya hivyo, nimerudi na njaa yangu sikuamini macho yangu na ndani sikuwahi kuona panya, nikashinda njaa.
 
Kuna siku nimepigika vibaya mno, ndani nna vidagaa mafuta na kaunga kama nusu hivi, nikasema acha hili buku jero nikachukue viungo nije nitoe kitu. Nikapika ugali na dagaa nikawaunga vizuri walikuwa watam sana, si mnajua dagaa ukitia ndimu hilo harufu lake na utam nazi ikasome.

Nilipomaliza kupika nikafunika fresh kabisa nikasema acha nifuate maji ya kurefill nikafanya hivyo, nimerudi na njaa yangu sikuamini macho yangu na ndani sikuwahi kuona panya, nikashinda njaa.
wadudu wanakeraaa sana
 
Back
Top Bottom