Kitu gani cha thamani ambacho panya aliwahi kukuharibia mpaka sasa unawachukia hata kuwaona

Kitu gani cha thamani ambacho panya aliwahi kukuharibia mpaka sasa unawachukia hata kuwaona

Kuna kipindi fulani miaka ya 90 nilikuwa nauza duka la reja reja, sitasahau uharibifu wa hao viumbe hasa kwenye unga wa Dona, kutafuna pesa za noti, hakika walinitia hasara hadi nilifunga duka
 
Leo panya nitawazungumzia kwa Pandey mbili.
1. Hasara; Alikula nywele zangu za sehemu za siri (za kwenye nyeti) ambazo nilizifuga kwa sababu demu wangu alikuwa akizisifia na kuzifurahia kutokana na uwesi na ulaini wake. Hii ilinikera kwa sababu demu wangu alikuwa anazifurahia sana lakini panya alinifanya nizinyoe zote.
2.Faida; Alikula nywele zangu za kwapani akazimaliza zote so alinipunguzei gharama ya kununua wembe na muda wa kuzinyoa.

Panya wana faida na hasara.
Ona jema kwenye Kila baya
 
Nilimkimbiza panya akaingia chumba ambacho akina kitu na hawezi toka...nikafunga tu mlango,nilimfungulia baada ya siku tatu,njaa aliokuwa nayo hata angeona paka angemtamani amle
 
Kuna siku nimepigika vibaya mno, ndani nna vidagaa mafuta na kaunga kama nusu hivi, nikasema acha hili buku jero nikachukue viungo nije nitoe kitu. Nikapika ugali na dagaa nikawaunga vizuri walikuwa watam sana, si mnajua dagaa ukitia ndimu hilo harufu lake na utam nazi ikasome.

Nilipomaliza kupika nikafunika fresh kabisa nikasema acha nifuate maji ya kurefill nikafanya hivyo, nimerudi na njaa yangu sikuamini macho yangu na ndani sikuwahi kuona panya, nikashinda njaa.
Nilituma mimi panya akunyooshe
 
Ukiona unaishi na panya ndani ya nyumba ujue level yako ya uchafu ni kubwa sana au unaishi kwenye store au barn ya majani ya mifugo.
 
Walitoboa abaya nalolipenda Sina hamu nao
Hadi leo kila nikiliangalia natamani kulia
 
Walikula my Certificate of Appreciation nilichotunikiwa na watukufu wana CHAPUTA wenzangu
 
Kuna siku nimepigika vibaya mno, ndani nna vidagaa mafuta na kaunga kama nusu hivi, nikasema acha hili buku jero nikachukue viungo nije nitoe kitu. Nikapika ugali na dagaa nikawaunga vizuri walikuwa watam sana, si mnajua dagaa ukitia ndimu hilo harufu lake na utam nazi ikasome.

Nilipomaliza kupika nikafunika fresh kabisa nikasema acha nifuate maji ya kurefill nikafanya hivyo, nimerudi na njaa yangu sikuamini macho yangu na ndani sikuwahi kuona panya, nikashinda njaa.
Alikukomesha!! [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom