The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Alooh kumbe wenzetu ni kitoweo kama wale wa kwa MkwawaSio kwa ubaya ila panya Wana mchango muhimu kwenye maisha ya watu wa mtwara.
maana huku nanjilinji panya ana ungwa na nyanya nzuri, Wana pata roast safi
Hapa unawasingizia panya buureNJE YA MADA. View attachment 3227673
Sasa mkuu ndo waje kutafuna vyeti? helaa notiii?Ni kiumbehai ulitaka wale wapi
Viumbehai katika mfumo wa maisha hutegemeana mkuu
Kuna rafiki angu waliingia dukani wakatoboa chupa za maji na juisi kibaoWaliniharibia mikate, unga na kande dukani
Ni kawaida yao wapo kama mwanaume anaetafuta mke...wanatoboa vitu 10 alafu wanakula kimojaKuna rafiki angu waliingia dukani wakatoboa chupa za maji na juisi kibao
wadudu wanakeraaa sanaKuna siku nimepigika vibaya mno, ndani nna vidagaa mafuta na kaunga kama nusu hivi, nikasema acha hili buku jero nikachukue viungo nije nitoe kitu. Nikapika ugali na dagaa nikawaunga vizuri walikuwa watam sana, si mnajua dagaa ukitia ndimu hilo harufu lake na utam nazi ikasome.
Nilipomaliza kupika nikafunika fresh kabisa nikasema acha nifuate maji ya kurefill nikafanya hivyo, nimerudi na njaa yangu sikuamini macho yangu na ndani sikuwahi kuona panya, nikashinda njaa.
Pole sana,.. kwa hiloalikula shati langu la interview
Sana mkuuwadudu wanakeraaa sana
alafu havitoboagi kimoja vinatoboatoboa vingi balaaaaa hasara hivi vidudeKwenye MANGI SHOP ya bruh..... Nikiwa nauza wakatoboa Azam Nazi pkt karibia box nzima walinikera, for sure
Pole mkuualikula shati langu la interview
waliwahi kuning'ata kidole seme nilwahi kushtuka kutoka usingiziniWanakula huku kwenye ngozi ya unyayo WA mguu