Alitaka kukufanyaje?Nilimpa jamaa mmoja kipigo cha mbwa koko narudia nilimpa kipigo cha mbwa koko [emoji23]
Huu uchochezi mkuuAlitaka kukufanyaje?
Kumgomea principal wa shule ya sekondari niliyokuwa nasoma,,,alipotaka kunipiga nilireact kwa kumsogezea kiti,,nilimuumiza ,,,aliniita ofisini kwake akiniweka kikao na mwalimu wa nidhamu,,cha ajabu mwalimu akamstaajabu mkuu wake nini kimetokea mpaka Waziri wa Nidhamu nilikuwa pale,,,hakika maelezo niliyoyatoa yalitosha mimi kushinda kesi ile hasa ukizingatia darasa langu lilitoa ushahidi wa kusapoti maelezo yangu.Asalam Jf
Kama heading inavyojieleza hapo
Katika maisha yako yote tangu umezaliwa mpaka hapa ulipofikia
Je ni kitu gani cha ushujaa umewahi kukifanya??
Mimi nilizuia rungu kwa mkono wangu ambalo lingeweza kumuua yule aliyekusudiwa kupigwa.. i got hurt bt i never regret for what i did.
Tobaa ,nikweli Mkuu ama umeamua kuchangamsha genge?Nilijitahiri mwenyewe nikiwa na miaka 5! Baada ya kutaniwa na wenzangu
Aiseeenilimtongoza sister mwenye kilemba wa kikristo mpaka akakubali na nikalala nae
acheni upumbavu.Yani huu ni ushujaa kupita maelezo.Huwa nawaza sn nikitakiwa kuwepo Tz .Ni nchi ya ajabu sn hapa Duniani
Asalam Jf
Kama heading inavyojieleza hapo
Katika maisha yako yote tangu umezaliwa mpaka hapa ulipofikia
Je ni kitu gani cha ushujaa umewahi kukifanya??
Mimi nilizuia rungu kwa mkono wangu ambalo lingeweza kumuua yule aliyekusudiwa kupigwa.. i got hurt bt i never regret for what i did.
Gahawa gawaha gahawaNikiwa form 3 kuna ticha alikuwa mkuda sana.alikuwa anatufundisha civics na book keeping.
Basi siku hiyo kaingia pindi akaanza kunizoea!mi nimetuliaa kimya hadi akanifata kwanini naomgea na we umenyamaza??!!!nikamjibu samahani mwalimu akaniwasha fimbo moja matata sana kwanini unanijibu!!basi nikamvuta kidogo nikamshushia ndoo moja matata sana hadi chini.nikamfata na buti moja la mbavu akalia kama mbuzi kabanwa pumbu!wanafunzi wakanishika na kunizuia!
Ikawa kelele class mara naona ofisi nzima ya walimu wanakimbia kuja class hapo nikaona msala huu!nikapishana nao mlangoni barutiiii
Asalam Jf
Kama heading inavyojieleza hapo
Katika maisha yako yote tangu umezaliwa mpaka hapa ulipofikia
Je ni kitu gani cha ushujaa umewahi kukifanya??
Mimi nilizuia rungu kwa mkono wangu ambalo lingeweza kumuua yule aliyekusudiwa kupigwa.. i got hurt bt i never regret for what i did.
Gahawa n kashata za bangiGahawa gawaha gahawa
Hahahahah mkuuNikiwa form 3 kuna ticha alikuwa mkuda sana.alikuwa anatufundisha civics na book keeping.
Basi siku hiyo kaingia pindi akaanza kunizoea!mi nimetuliaa kimya hadi akanifata kwanini naomgea na we umenyamaza??!!!nikamjibu samahani mwalimu akaniwasha fimbo moja matata sana kwanini unanijibu!!basi nikamvuta kidogo nikamshushia ndoo moja matata sana hadi chini.nikamfata na buti moja la mbavu akalia kama mbuzi kabanwa pumbu!wanafunzi wakanishika na kunizuia!
Ikawa kelele class mara naona ofisi nzima ya walimu wanakimbia kuja class hapo nikaona msala huu!nikapishana nao mlangoni barutiiii