Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Niliokoa wasichana 3 usiku wakiwa wamezungukwa na vibaka tayari kwa kukabwa.
Niliokoa kijana aliyesingiziwa kuiba kisa alikuwa anakimbia mjini akiwahi gari, mtu mmoja aliita mwizi na watu wakaanza kumshambulia bila kuujua undani.
Nilifanikiwa kuutuliza umati mkubwa na kijana akasalimika
Niliokoa kijana aliyesingiziwa kuiba kisa alikuwa anakimbia mjini akiwahi gari, mtu mmoja aliita mwizi na watu wakaanza kumshambulia bila kuujua undani.
Nilifanikiwa kuutuliza umati mkubwa na kijana akasalimika