King Jody
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 1,834
- 3,456
Kuna rafiki yangu ana tatizo la miguu kutoa harufu kali, yani akivua viatu ni balaa, akinitembelea home huwa namwambia aingie na viatu, wapo waliomshauri aloweke miguu kwenye maji ya betri mwisho wa siku akaishia kuchubuka miguu lakini wapi, kwa kifupi amehangaika sana bila mafanikio.
Kwa yeyote ambaye amewahi kupitia changamoto kama hii na akafanikiwa kuitatua atujuze tafadhali.
Kwa yeyote ambaye amewahi kupitia changamoto kama hii na akafanikiwa kuitatua atujuze tafadhali.