Kitu gani kilikufanya uache tabia fulani

Kitu gani kilikufanya uache tabia fulani

2v1

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2024
Posts
247
Reaction score
358
Habari zenu wana JF, binafsi nimeamka asubuhi nimejihisi kuchoka na hii tabia ya kuangalia picha chafu.
Nimekuwa na tabia hii muda mrefu sasa basi.
Najua kuacha uraibu wa tabia fulani sio jambo rahisi ata kidogo, kwa sababu nilisha jaribu sana ila nikashindwa.
Wana jamvi elezeni pia visa vyenu wenda sababu zenu zikawa msaada kwangu katika kuendelea kuishi bila hii tabia.
 
Kuna vitabu online vimeweka wazi mambo yote kuhusu Kujichua na video chafu kwa Ujumla wake. Google

Pia Soma nyuzi za Nyenyere
 
  • Thanks
Reactions: 2v1
Mimi nimeacha nilikuwa naangalia X mpaka namaliza Gb3 kwa siku.
Ila nilipoanza kuvuta mjani asee umenisaidia sana hata sipendi kushika simu mara kwa mara....
🌿jaribu hii kitu ...
 
  • Thanks
Reactions: 2v1
Sikuwahi kuwa mraibu kiivo,ila Kuna kitu Cha ajabu nilikiexperience na hizo video,siku zote nilizotazama niliota ndoto mbaya sana , sambamba na kuwangiwa na wachawi, ,,, nilichokuja kuelewa hizo picha Zina energy/ roho ambazo zilififisha energy/roho yangu so ikawa easy kuwa attacked na maroho mengine, so nililazimika kuacha, Moja nikaacha kuweka bando kwenye simu , mbili nikaacha kutumia smartphone
 
Kujua tatizo ni njia Moja ya kutatua tatizo...Hujaamua kuacha tatizo linakusibu yaani upo vuguvugu .Humu kuna nyuzi nyiiingi zinazoelezea namna ya kuacha tatizo kama la kwako ,unapojielimisha weka Nia na malengo magumu kwa Imani yako unayoamini utatoboa
 
Mimi nimeacha nilikuwa naangalia X mpaka namaliza Gb3 kwa siku.
Ila nilipoanza kuvuta mjani asee umenisaidia sana hata sipendi kushika simu mara kwa mara....
🌿jaribu hii kitu ...
Sizani kama nitatumia mjani, maana hata dukani kwangu nimegoma kuuza sigara na imenifanya nipoteze baadhi ya wateja.
 
Sizani kama nitatumia mjani, maana hata dukani kwangu nimegoma kuuza sigara na imenifanya nipoteze baadhi ya wateja.
Kwanini kwani ukiuza sigara unapata changamoto gani
 
Ata sijui, nikiona kitu sigara au pombe nafsi yangu huwa najisikia vibaya.
Pole mkuu mjani utakusaidia pia kuondoa hiyo hali nakukaribisha kwenye chama kwa moyo mkunjuvu ..
 
Nilikuwa nikitazama hizo videos usiku nilikuwa naota maku nyingi zenye shepu za ajabu, nikiamka asubuhi naumwa, nachoka, napata hasira na kuhuzunika kupita kiasi.
 
  • Thanks
Reactions: 2v1
Hali naona inakuwa tete naombeni maombi yenu, tokea niandike huu uzi mpaka leo sijajichukulia sheria mkononi wala kutazama picha za ngono, ila sasa nikiona wake za watu na baadhi ya wanawake hari ya uku chini inakuwa tete kweli, chingine picha za ngono zinakuja kwa kasi sana kichwani mwangu jamani jamani mniombe sitaki kurudi.
 
Chukua bible soma vitabu 4 kwanza awamu ya kwanza Mathayo,Luka,Yohana na Marko

Funga mfungo wa hiari Anza na siku 3 ukiweza siku 3 funga siku 7 huku ukitubu huo uraibu

wakati unafunga soma pia kwenye bible vitabu vya Wafilipi,Warumi,Waefeso, Waebrania,wathesilanike kwa kifupi vitabu vilivyoandikwa na Mtume Paul view ndie Milo Yako na Mungu muumba atakusaidia

yote yatawwzwkana kama utamkabishi Yesu maisha yako kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha Yako nae atabasilisha utashi wa akili yako kuwaza huo upuuzi na utaanza kuona ukuu wa Mungu katika maisha Yako utaanza kuishi kutimiza kusudi la wewe kuletwa hapa Duniani, na Mungu atakusaidia usiache kwenda ibadani kama ni kanisani au msikitini na ukatoe sadaka ya Toba na shukrani.
 
Back
Top Bottom