Kitu gani kilikushangaza ulipofika Dar kwa mara ya kwanza.

Kitu gani kilikushangaza ulipofika Dar kwa mara ya kwanza.

Dah nyie acheni wakuu Dar ya zamani ilikuwa na hadhi kwa watu wa mkoa. Nilikuwa nikirudi watu wanataka niwasimlie stori za akina Maxi na Zembwela halafu na kiswahili changu cha Kidaslamu haha nilikuwa nawakalisha.
Asee usinikumbushe, nikiwa darasa la pili tuliamia mkoani, kufika kule watoto walikuwa wananizunguka kusikiliza kiswahili changu, kila mtu anashangaa unavyoongea.
 
Mm nilishangaa sana kuona mashabiki wengi mpirani ni wanawake kuliko wanaume pale uwanja wa sifa temeke
 
Asee usinikumbushe, nikiwa darasa la pili tuliamia mkoani, kufika kule watoto walikuwa wananizunguka kusikiliza kiswahili changu, kila mtu anashangaa unavyoongea.
Dar ya zamani ilikuwa na hadhi sana siku hizi mtu anaijua Dar kupitia instagram, ukienda mkoa hawana shobo tena na ww.
 
Hehehe Bandari pale NDONDO CUP kuna wanawake wanashangilia kama Wabrazil.
Mm nilishangaa sana kuona mashabiki wengi mpirani ni wanawake kuliko wanaume pale uwanja wa sifa temeke
 
Hehehe Bandari pale NDONDO CUP kuna wanawake wanashangilia kama Wabrazil.

[emoji23][emoji23][emoji23] nilikua nahuzulia mpirani kila siku, mikoani hamna haya mambo
 
Mida ya jioni watu wananunua karanga mbichi na muogo kwenye daradara vinakua katika package
 
Nlihisi kimara kkoo nikarb nilitembea balaaa nlikujakufk kwatab sanaa nlijikuta nakojoa mkojo wa njanooo
 
Back
Top Bottom