Kitu gani kimefanya Vodacom wadharau agizo la Serikali kuhusu bei za bando?

Kitu gani kimefanya Vodacom wadharau agizo la Serikali kuhusu bei za bando?

Mwee

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2018
Posts
246
Reaction score
617
Ni siku ya kumi sasa tangu vodacom wapandishe bei za vifurushi vya matumizi ya simu. Baada ya malalamiko ya wateja, serikali kupitia TCRA walitoa tamko la kutaka makampuni yote yarudishe bei za zamani wakati suala hilo likishughulikiwa. Pia na rais Samia S Hassan naye akakazia kwa kutaka suala hilo la upandishaji holela wa vifurushi lisijirudie tena. Baadhi ya makampuni ya simu ikiwemo Hallotel walitii agizo hilo na kurudisha bei za mwanzo. Lakini sijui ni kwa kiburi au dharau, vodacom mpaka leo wamekaidi agizo hilo na kuendelea na bei zao mpya ambazo kwa hakika ziko juu mno.

Hivi hawa jamaa nani anawalinda kiasi cha kukaidi hata agizo la rais? Je TCRA au waziri husika mbona nanyi mko kimya?
 
Ni siku ya kumi sasa tangu vodacom wapandishe bei za vifurushi vya matumizi ya simu. Baada ya malalamiko ya wateja, serikali kupitia TCRA walitoa tamko la kutaka makampuni yote yarudishe bei za zamani wakati suala hilo likishughulikiwa. Pia na rais Samia S Hassan naye akakazia kwa kutaka suala hilo la upandishaji holela wa vifurushi lisijirudie tena. Baadhi ya makampuni ya simu ikiwemo Hallotel walitii agizo hilo na kurudisha bei za mwanzo. Lakini sijui ni kwa kiburi au dharau, vodacom mpaka leo wamekaidi agizo hilo na kuendelea na bei zao mpya ambazo kwa hakika ziko juu mno.
Hivi hawa jamaa nani anawalinda kiasi cha kukaidi hata agizo la rais? Je TCRA au waziri husika mbona nanyi mko kimya?
Kauli za serikali zipo kisiasa tu na ndio maana haziwashtui. Tena huyo Waziri ni kihiyo tu
 
Vodacom ni kampuni ya ajabu sana hasa tanzania
 
Ni siku ya kumi sasa tangu vodacom wapandishe bei za vifurushi vya matumizi ya simu. Baada ya malalamiko ya wateja, serikali kupitia TCRA walitoa tamko la kutaka makampuni yote yarudishe bei za zamani wakati suala hilo likishughulikiwa. Pia na rais Samia S Hassan naye akakazia kwa kutaka suala hilo la upandishaji holela wa vifurushi lisijirudie tena. Baadhi ya makampuni ya simu ikiwemo Hallotel walitii agizo hilo na kurudisha bei za mwanzo. Lakini sijui ni kwa kiburi au dharau, vodacom mpaka leo wamekaidi agizo hilo na kuendelea na bei zao mpya ambazo kwa hakika ziko juu mno.
Hivi hawa jamaa nani anawalinda kiasi cha kukaidi hata agizo la rais? Je TCRA au waziri husika mbona nanyi mko kimya?
Na Tigo pia
 
Hao voda wakiendelea kujifanya kichwa ngumu watafilisika. Nilikuwa loyal customer Wao, lakini kwa hili la kugoma kupunguza vifurushi nimewakimbia rasmi.
Nimesubiri zaidi ya wiki naona bado hawasikilizi kauli ya ndugulile Jana nimehamia Halotel Rasmi.
Napeta tu na Halotel, Bye Vodacom mtakula jeuri yenu
 
Nilisubili kwa zaidi ya wiki,jana nimeunga halotel mwezi mzima kwa hasira, Vodacom ni kampuni ya kijinga sijawahi fikiria!
 
Hameni huko njooni Halotel tuserereke...
Mimi laini ya voda ni kwa ajili ya kupokea simu na mpesa.
 
Ni siku ya kumi sasa tangu vodacom wapandishe bei za vifurushi vya matumizi ya simu. Baada ya malalamiko ya wateja, serikali kupitia TCRA walitoa tamko la kutaka makampuni yote yarudishe bei za zamani wakati suala hilo likishughulikiwa. Pia na rais Samia S Hassan naye akakazia kwa kutaka suala hilo la upandishaji holela wa vifurushi lisijirudie tena. Baadhi ya makampuni ya simu ikiwemo Hallotel walitii agizo hilo na kurudisha bei za mwanzo. Lakini sijui ni kwa kiburi au dharau, vodacom mpaka leo wamekaidi agizo hilo na kuendelea na bei zao mpya ambazo kwa hakika ziko juu mno.
Hivi hawa jamaa nani anawalinda kiasi cha kukaidi hata agizo la rais? Je TCRA au waziri husika mbona nanyi mko kimya?
Yaani voda wenzao wamerudi kama awali wao wamekaidi,nimeelewa kwa nini magufuli alishaweka ndani hawa wakurugenzi wa vodacom.

Voda wamejaa viburi na dharau
 
Natafuta pesa ya kununua simu ya pili.. nikipata tu nahama voda nanunua line nyingine
 
Vodacom na tigo wana vifurushi vya moto.
Mitandao nafuu ni Halotel na Airtel.
Hao voda wakiendelea kujifanya kichwa ngumu watafilisika. Nilikuwa loyal customer Wao, lakini kwa hili la kugoma kupunguza vifurushi nimewakimbia rasmi.
Nimesubiri zaidi ya wiki naona bado hawasikilizi kauli ya ndugulile Jana nimehamia Halotel Rasmi.
Napeta tu na Halotel, Bye Vodacom mtakula jeuri yenu
 
Vodacom nilikuwa najiunga kwa 1500 kwa wiki dk 150, SMS 100 na GB 1
Sasa hivi kimekuwa 2000 Dk 30 voda to voda, 70 mitandao yote, SMS 30 na mb 500 kwa wiki. Bora hata wangeongeza kifurushi.
Itakuwa laini ya kupokelea tu na MPESA tu
Natafuta pesa ya kununua simu ya pili.. nikipata tu nahama voda nanunua line nyingine
 
Na Tigo pia
Hata Airtel pia. Serikali ya Mama haina meno. Atleast JPM alikuwa ana uthubutu wa kuagiza (na sio kuombaomba)

D5C57C49-665D-4ED1-9CD0-3B7E3D279C39.jpeg
 
Ni siku ya kumi sasa tangu vodacom wapandishe bei za vifurushi vya matumizi ya simu. Baada ya malalamiko ya wateja, serikali kupitia TCRA walitoa tamko la kutaka makampuni yote yarudishe bei za zamani wakati suala hilo likishughulikiwa. Pia na rais Samia S Hassan naye akakazia kwa kutaka suala hilo la upandishaji holela wa vifurushi lisijirudie tena. Baadhi ya makampuni ya simu ikiwemo Hallotel walitii agizo hilo na kurudisha bei za mwanzo. Lakini sijui ni kwa kiburi au dharau, vodacom mpaka leo wamekaidi agizo hilo na kuendelea na bei zao mpya ambazo kwa hakika ziko juu mno.
Hivi hawa jamaa nani anawalinda kiasi cha kukaidi hata agizo la rais? Je TCRA au waziri husika mbona nanyi mko kimya?
Hapo ndiyo mtamkumbuka R.I.P. John Pombe Magufuli. Ninyi wenyewe mlishangilia serkali kutoingilia uhuru wetu. Kampuni kama VODA inachukuliwa kama mtu, na ina haki kuwerka bei ya bidhaa yake kama inavyoona inafaa. Sasa mnang'aka! Sasa kinachotembea ni nguvu ya pesa. Naona Mbowe mbele akiwa na mchakato wa kuishtaki VODA! Kazi iko.
 
Ni siku ya kumi sasa tangu vodacom wapandishe bei za vifurushi vya matumizi ya simu. Baada ya malalamiko ya wateja, serikali kupitia TCRA walitoa tamko la kutaka makampuni yote yarudishe bei za zamani wakati suala hilo likishughulikiwa. Pia na rais Samia S Hassan naye akakazia kwa kutaka suala hilo la upandishaji holela wa vifurushi lisijirudie tena. Baadhi ya makampuni ya simu ikiwemo Hallotel walitii agizo hilo na kurudisha bei za mwanzo. Lakini sijui ni kwa kiburi au dharau, vodacom mpaka leo wamekaidi agizo hilo na kuendelea na bei zao mpya ambazo kwa hakika ziko juu mno.
Hivi hawa jamaa nani anawalinda kiasi cha kukaidi hata agizo la rais? Je TCRA au waziri husika mbona nanyi mko kimya?
Bila shaka kuna mkono wa Viongozi ndani yake

Sent from my HUAWEI CAM-L21 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom