Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Vifurushi vimeanza kupanda hata JPM hajawa raisi. Naona umeanza kutumia simu 2020.
Kulikuwa na night bando karibia makampuni yote, voda walishusha mpaka ikawa 4GB kwa 1500 na mwenzake Tigo.
Mwaka jana 2020 mwezi wa 10 vifurushi vya night bando Halotel na Airtel speed vilikuwa kama konokono.
Mwaka jana 2020 vifurushi vya tigo vilikuwa moto.
JPM huyu huyu ambaye ameshindwa hata kuajiri hata kutoa nyongeza ya mshahara. Nimkumbuke?
Bora hata ameondoka maana alikuwa anaenda kuigawa nchi
Kulikuwa na night bando karibia makampuni yote, voda walishusha mpaka ikawa 4GB kwa 1500 na mwenzake Tigo.
Mwaka jana 2020 mwezi wa 10 vifurushi vya night bando Halotel na Airtel speed vilikuwa kama konokono.
Mwaka jana 2020 vifurushi vya tigo vilikuwa moto.
JPM huyu huyu ambaye ameshindwa hata kuajiri hata kutoa nyongeza ya mshahara. Nimkumbuke?
Bora hata ameondoka maana alikuwa anaenda kuigawa nchi
Hapo ndiyo mtamkumbuka R.I.P. John Pombe Magufuli. Ninyi wenyewe mlishangilia serkali kutoingilia uhuru wetu. Kampuni kama VODA inachukuliwa kama mtu, na ina haki kuwerka bei ya bidhaa yake kama inavyoona inafaa. Sasa mnang'aka! Sasa kinachotembea ni nguvu ya pesa. Naona Mbowe mbele akiwa na mchakato wa kuishtaki VODA! Kazi iko.