Kitu gani kimefanya Vodacom wadharau agizo la Serikali kuhusu bei za bando?

Vifurushi vimeanza kupanda hata JPM hajawa raisi. Naona umeanza kutumia simu 2020.
Kulikuwa na night bando karibia makampuni yote, voda walishusha mpaka ikawa 4GB kwa 1500 na mwenzake Tigo.
Mwaka jana 2020 mwezi wa 10 vifurushi vya night bando Halotel na Airtel speed vilikuwa kama konokono.
Mwaka jana 2020 vifurushi vya tigo vilikuwa moto.
JPM huyu huyu ambaye ameshindwa hata kuajiri hata kutoa nyongeza ya mshahara. Nimkumbuke?
Bora hata ameondoka maana alikuwa anaenda kuigawa nchi
 
Hata angekuwepo angefurahi sana maana angeona ndiyo muda muafaka wa watu kutokuwepo mtandaoni maana wasingepata muda wa kumfuatilia Kigogo.
Angekuwa ana roho nzuri angeifungia Twitter? TTCL yenyewe ilimshinda. Tutamkumbuka kwa lipi?
Alikufa mafuta ya kupikia rita 5 yalikuwa yanauzwa kwa shilingi ngapi vile?
 
Unakumbuka wakat cement inapanda bei mwanzoni mwa oct mwaka Jana? Badae serekali ilikuja kutoa tamko kuwa vifaa vya ujenzi ikiwemo cemnt zishuke bei na zirudi bei ya awali lakin wala hazijashuka Hadi leo huku nilipo tunanunua 21,500/= mfuko mmoja wa cemnt

Mimi nilicho gundua ni kuwa viongoz wameshatuona wa Tz ni mabwege wakija kwetu wanakuja na sura nyingine na wakienda kwa hao wawekezaji wanaenda kwa sura zingine, mchawi mkubwa hapa ni kodi tu, na viongozi wanapo jidai kutoa matamko huwa ni matamko ya kinafki yalio jaaa uongo mtupu, nyuma ya pazia wao ndiyo waumizaji wakubwa wa raia
 
Sasa si muwahame?

Yaani mnailalamikia Voda utadhani ni watoa huduma za simu/data pekee...
 
Wenye share Vodacom Tanzania wanajuna na serikali
 
Bei ya zamani unaijua? Usikute zile unazoita za zamani ilikuwa ni promotion tu aliamua Vodacom kibiashara ila hizi za sasa labda ndio bei za zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…