Sijui kama Niko sawa wakuu naombeni Ushauri kabla ya kwenda hospital kwasababu siko sawa. Kama mwezi mmoja uliopita nilishikwa na tonses pamoja na homa kali sana, nilitumia dawa haikuchukua wiki moja nikawa nimeuona.
Cha kusikitisha ikawa bado nasikia maumivu kwambali pale ninapokula chakula kigumu Na huwa ninakohoa sana pamoja na kutema makohozi kwa wingi. Nikaona ni jambo la kawaida. Sasa jana ndio nikajiangalia kujua ni nini kinachonisumbua kufungua mdomo nikakuta kilimi changu kimeshikana na kugandana na upande mmoja wa tezi ya kushoto na kuna usaa kwa mbali.
Naombeni msaada kuhusu hili tatizo langu, je ni nini hasa?
Cha kusikitisha ikawa bado nasikia maumivu kwambali pale ninapokula chakula kigumu Na huwa ninakohoa sana pamoja na kutema makohozi kwa wingi. Nikaona ni jambo la kawaida. Sasa jana ndio nikajiangalia kujua ni nini kinachonisumbua kufungua mdomo nikakuta kilimi changu kimeshikana na kugandana na upande mmoja wa tezi ya kushoto na kuna usaa kwa mbali.
Naombeni msaada kuhusu hili tatizo langu, je ni nini hasa?