Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katika maisha

Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katika maisha

Mimi nadhani kabla sijaandika sana jaribu kuitafakari signature yangu kisha nitarudi na maelezo kidogo tu yanayoendana na hiyo slogan chini.


Angalia signature yako vizuri mzee.Maisha sio tu ku'take risk' bali ni ku 'take' CALCULATED RISK.
 
Nimeshakutana na wasomi kila aina,lakini majority yao ni watu wasiokuwa na uwezo hata wa kuendesha maisha yao.Na nimeshakutana na watu wasiokuwa na elimu ya maana...lakini ni watu makini,wana uwezo wa kifedha,wanajiamini na wanaendesha shughuli zao vizuri.
Sasa labda hapa ni kutafuta sababu za hawa wasomi kuwa watu wa vitabu,data,laptop,kuendesha semina n.k lakini wakawa dhaifu inapofika suala la kutajirika,kuwa na mamlaka na kujiamini.
Mfano ni fundi viatu wa miaka ya sitini Said Salim Bakhressa maarufu kwa ice cream na bidhaa tofauti hapa nchini.AU hata Billy Gates..aliyekimbia shule akiwa grade 10...na sasa ni mmoja ya matajiri wakubwa duniani.List yao ni ndefu...kina Ford..n.k.

Je ni kitu gani cha ziada ambacho wasiokuwa na elimu ya juu...walichonacho hadi wakafanikiwa katika malengo yao,ambacho hakipatikani kwa wenye Phd..n.k?

Once you think you have nothing and you want to have you start struggling to get it. That is where your dreams come true. But once you have something and you thing that is your weapon incase you need to use it at a time you want to, you become relactant, time goes and you at the end come to realize you are too old to start afresh. Asiye na elimu huwa tayari kufanya kazi yoyote na kufanikiwa bali mwenye elimu hudonoa donoa kazi ipi impe jina, siyo pesa.
 
I think it will be good for us especially in a country like Tanzania to be specific when we talk of success, I would prefer to talk of success stories which inspires, which can be told to show to the young and also the daring that there with hard work, determination and constancy of purpose...much can be achieved, and this will be good if it shows what sort of life that particular person leads or led. This might not necessarily mean a lot of wealth...a PhD as the only goal...It might be being a farmer and being able to educate your children...being able to move from a mud brick house to a burnt brick house etc...naomba kuwakilisha
 
Natafuta ni kitu gani kilichomfanya mtu kama Henry Ford wa kwanza kufanikiwa katika kutengeneza gari na hadi kufikia karne hii magari ya Ford yakawa bado yapo


Udadisi mkuu....

.Jamii imtambue isimtambue kama kafanikiwa au la...yale magari yake ndiyo yanayodhirisha kufaulu kwake katika maisha yake na ndiyo yanayomfanya awe successiful na kutambulika baadaye kwa jamii.Achievement yake ilikuja kutambulika na jamii baadaya ya yeye binafsi ku triumph.

Kuweka malengo ya kupata ajira ya mshahara wa laki mbili,hayo hayakuwa malengo halisi bali simple wish.Lengo halisi ni kuwa na burning desire ili kupata mafanikioa in a life time si temporary wish kama hiyo ya mshahara.

Hilo la Nyerere kuwa successiful man..mimi silitambui.Success inaanzia nyumbani kwenye level ya family.Cheki familia yake utajua naotaka kusema nini.Nyerere as a man was never successiful.Alitaka kujenga Taifa la kiujamaa...where is that?Kama Rais hakuwa successiful kabisa!Mimi nataka kujua kwa nini Professor Machunda hakujenga hata kibanda...cha maana huko Ukerewe lakini mtu kama Mwita Gachuma ni tajiri mkubwa.Education ya Machunda ilikuwa na maana gani?


Hivi kwani kusoma sana ndio inamaanisha pia kufanikiwa sana kimaisha?

Je kuwa na elimu ya juu kama PhD ndio kuelimika?
 
[/B][/COLOR]

Hivi kwani kusoma sana ndio inamaanisha pia kufanikiwa sana kimaisha?

Je kuwa na elimu ya juu kama PhD ndio kuelimika?

Mimi nadhani mtu kufanikiwa kuna kitu zaidi ya elimu,ndiyo sababu ya kutoa mfano wa hayati Machunda na tajiri Mwita Gachuma.

Kusoma sana kunamwezesha mtu kujua mambo mengi lakini hebu angalia katika miji yetu na vijiji vyetu utashangaa kuona kuwa wengi waliofanikiwa ni wale waliotumia muda mfupi darasani.

Hii haihitaji hata kufanya research kwa sababu iko wazi kabisa.
 
Success is about the right attitude towards your goals. be POSITIVE. this will lead you
 
elimu sio kila kitu ingawa ina mchango mkubwa sana kuelekea mafanikio
 
Mafanikio yanapatikani kwenye kazi yako binafsi ya kujiajiri na sio kuajiriwa
 
KWA MTAZAMO WANGU...KAMA MTU SI MGONJWA NA HAJAFA INA MAANA......[h=2]Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katika maisha...........MENGINE NI ZIADA TU......MUHIMU NI FOOD, CLOTHES AND SHELTER....BAAAAS.[/h]
 
Proper thinking. Most of us do'nt think properly, because we do not even take trouble to know what proper thinking is. You cannot succeed if you think wrongly.
 
Nimejifunza kutoka kwa bro @maxence mello kuhusu attitude pia tusiseme wasioenda shule kwa sababu hata walioenda shule ni wengi pia wenye mafanikio ukicompare na wasio na shule.
Founder wa precision air michael Ngareko alikuwa mkurugenzi wa ATC,Mengi auditor,Mo dewji ana degree,rostam naye ni msomi.
 
Kuna msemo wa kawaida sana.."MASIKINI HANA CHA KUPOTEZA"..
Mtu asiye na kitu huweka juhudi zote katika hicho anchokitafuta.Hatahofia kupoteza alichonacho kwa kuwa anajiona hana kabisa kama masikini tu.Watu wa aina hii hufanikiwa sana kwa kuwa wanajichukulia kuwa wana option mbili tu kufaulu au kufa kabisa.
Kwa upande mwingine, watu wanaojichukulia kuwa wana pa kujishikiza(mfano mshahara,kazi,mali za urithi n.k) huwa na hofu sana ya kupoteza walivyonavyo na hivyo kuweka jitihada nusunusu katika kila jambo kwa kuwa wana option nyingi.Hawa mwisho wa siku hawafanikiwi sana.
 
Education is useless because it destroys our
common sense

Education is useless because it leads us
away from practicality.

Education is useless because it leads us
away from idealism.

Education is useless because it isolates us
from the rest of humanity.

Education is useless because it hardens our
hearts. It makes people think so much that
they forget to feel.

Education is useless because it lowers our
spirits.

Education is useless because it weakens our
bodies.

Education is useless because it swells our
heads.

Education is useless because it dulls our
personalities.

Education is useless because it makes us
slaves.

Education is useless because it makes us
rebels.

Education is useless because it impoverishes
us.

Education is useless because it pampers us.

Education is useless because it makes us
optimists.

Education is useless because it makes us
pessimists.

Education is useless because it leads to
dogmatism.

Education is useless because it leads to
doubt.

Education is useless because it distances us
from real life.

Education is useless because it mires us in
real life.

Education is useless because it makes us
phonies.

Education is useless because it makes us
pedants.

huo sio mtizamo wangu.nimeutoa kwenye mtandao.
here is a link for more details: Table of Contents: Why Education Is Useless
 
walio na elimu ya darasani huwa wanareason sana katika jambo na huko hupelekea kuwa waoga katika kufanya maamuzi na mwisho wa siku huwa na maisha ya KIUCHUMI ya kawaida au duni,ndio maana unashauriwa unapotaka kufanya biashara yoyote usifanye na mtu aliyekwenda sana darasani(yaani usimshirikishe moja kwa moja kwenye maamuzi),fanya na mtu wa chini ila awe ana elimu ya maisha utafanikiwa sana...na pia huwa wakifail jambo mara moja huwa hawarudi tena na hata kufanya utafiti kwa nini walishndwa hawafanyi...
 
Back
Top Bottom