Kitu gani kinaweza kusababisha shahidi kukataa kuendelea na cross examination?

Kitu gani kinaweza kusababisha shahidi kukataa kuendelea na cross examination?

August

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2007
Posts
9,327
Reaction score
5,206
Baada ya kufuatilia kesi ya ugaidi inayoendelea nimeona Mashahidi wa serikali wakipata wakati mgumu mpaka wengi kuomba kwenda faragha mara kwa mara na jana moja aliokolewa na wakili wake , sasa sijui hiyo inaruhusiwa wakili kwenda kwa shahidi wake bila ruhusa ya Jaji.

Tukiacha hiyo pembeni na kuangalia matamanio ya Mashahidi hao ni cross examination iwe rahisi kwao , hivyo nimatamanip yao walirudi mahakamani n.k .

Sasa ningependa kujua mazingira yanayo mwezesha shahidi kukata kuendelea kuwa cross examined na wakili fulani kwa mfano nikiidai huyo wakili kanitukania wazazi wangu au familia yangu.
 
nikiidai huyo wakili kanitukania wazazi wangu au familia yangu.
nikiidai ! Je waweza kuithibitishia mahakama!

Hii hoja yako ni yakufikirika zaidi, haina misingi ya kimahakama.

Kumbuka shahidi, Mawakili na jaji wanaongozwa naSheria, Kanuni na Taratibu za kimahakama,

Hivyo hili swala lako haliwezi kutokea.
 
Baada ya kufuatilia kesi ya ugaidi inayoendelea nimeona Mashahidi wa sirikali wakipata wakati mgumu mpaka wengi kuomba kwenda faragha mara kwa mara na jana moja aliokolewa na wakili wake , sasa sijui hiyo inaruhusiwa wakili kwenda kwa shahidi wake bila ruhusa ya Jaji. Tukiacha hiyo pembeni na kuangalia matamanio ya Mashahidi hao ni cross examination iwe rahisi kwao , hivyo nimatamanip yao walirudi mahakamani n.k .
Sasa ningependa kujua mazingira yanayo mwezesha shahidi kukata kuendelea kuwa cross examined na wakili fulani kwa mfano nikiidai huyo wakili kanitukania wazazi wangu au familia yangu.
Umewahi kuhudhuria mapambano ya ngumi?

Swilla alirushiwa taulo.
 
Tulizoea mahakamani Mtuhumiwa ndiye anatetemeka na kujawa na hofu kubwa.

This time around imekuwa tofauti.
... very funny indeed! Je, haikupata kuandikwa kwenye Chuo cha Manabii kwamba waovu hukimbia wasipofuatwa na mtu bali wenye haki ni jasiri kama simba? Maneno haya yanatimia machoni petu leo!
 
Baada ya kufuatilia kesi ya ugaidi inayoendelea nimeona Mashahidi wa sirikali wakipata wakati mgumu mpaka wengi kuomba kwenda faragha mara kwa mara na jana moja aliokolewa na wakili wake , sasa sijui hiyo inaruhusiwa wakili kwenda kwa shahidi wake bila ruhusa ya Jaji. Tukiacha hiyo pembeni na kuangalia matamanio ya Mashahidi hao ni cross examination iwe rahisi kwao , hivyo nimatamanip yao walirudi mahakamani n.k .
Sasa ningependa kujua mazingira yanayo mwezesha shahidi kukata kuendelea kuwa cross examined na wakili fulani kwa mfano nikiidai huyo wakili kanitukania wazazi wangu au familia yangu.
... the best he can do ni kujitoa kama shahidi. Kwani kutoa ushahidi ni lazima?
 
Kwani wewe ndio shahidi wa12au13🤔.je unapanga kuwakata mawakili wapi?
Sasa mtu anakutukania wazazi wako, au familia yako ukimuona tu unazimia sasa ushahidi nita present vipi , walete wakili mwingine huyo simtaki, mbona huwa watu wanamkata Judge.
 
Umewahi kuhudhuria mapambano ya ngumi?

Swilla alirushiwa taulo.
... sasa kama Swila ambaye ndiye msanifu mkuu wa mchezo mzima anarushiwa taulo walifungua kesi ya nini? Ndo maana akina comte, zandrano, et. al. siwaoni kabisa kwenye huu uzi! Ingekuwa ni upande wa utetezi yametokea hayo, tusingelala leo!
 
... sasa kama Swila ambaye ndiye msanifu mkuu wa mchezo mzima anarushiwa taulo walifungua kesi ya nini? Ndo maana akina comte, zandrano, et. al. siwaoni kabisa kwenye huu uzi! Ingekuwa ni upande wa utetezi yametokea hayo, tusingelala leo!
Kwa Maana hiyo na airisha Shauri Mpaka Jumatatu Saa 3 Asubuhi na Washtakiwa Wataendelea Kuwa Rumande chini ya Magereza Mpaka Siku hiyo
 
Baada ya kufuatilia kesi ya ugaidi inayoendelea nimeona Mashahidi wa serikali wakipata wakati mgumu mpaka wengi kuomba kwenda faragha mara kwa mara na jana moja aliokolewa na wakili wake , sasa sijui hiyo inaruhusiwa wakili kwenda kwa shahidi wake bila ruhusa ya Jaji.

Tukiacha hiyo pembeni na kuangalia matamanio ya Mashahidi hao ni cross examination iwe rahisi kwao , hivyo nimatamanip yao walirudi mahakamani n.k .

Sasa ningependa kujua mazingira yanayo mwezesha shahidi kukata kuendelea kuwa cross examined na wakili fulani kwa mfano nikiidai huyo wakili kanitukania wazazi wangu au familia yangu.
Mkuu hivi kuna sababu gani ya shahidi kujiuguza wakati alikuwa na nafasi ya kukataa au kukubali kuja kutoa ushahidi? Huyu kakubali. na watu wanaona kuwa kaogopa maswali! Tuseme wako sawa- matokeo yake ni yapi?

Swila alitoa ushahidi mzito sana dhidi ya Mbowe- Kile kidaftari na kushabihiana kwa miandiko ya watuhumiwa pamoja na maeneo yaliyotarajiwa kulipuliwa

Sasa waheshimiwa mawakili wa upande wa utetezi sijaona ni wapi wanashughurika na hilo kwa udani wake.

wanarukaruka tu. Na sasa furaha yao imekuwa kuugua kwa shahidi kana kwamba watui hawauguwi.
 
Back
Top Bottom