Kitu gani kinaweza kusababisha shahidi kukataa kuendelea na cross examination?

Wakili kwenda faragha na shahidi ni kosa pia..maana kule wanaenda kufanya kosa kisheria (coaching witness!!) Ambayo hairuhusiwi..maana inasababisha miscarriage of justice [emoji109]
Kama wanafanya hivyo ni wahuni na wapi kinyume na sheria
 
Atakataa tu kuendelea kama maswali yanamuondolea utu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…