Kitu gani ukichanganya kwenye pombe mtu analewa haraka sana?

Kitu gani ukichanganya kwenye pombe mtu analewa haraka sana?

Ajiangalie, mademu hawatoki sayari zingine, tupo nao humu humu mitandaoni, na tena sikuhizi nyuzi za huku zinaibwa kwenda insta basi ni rahisi watu wengi kuona, sasa kabla hajaweka Kojo kwenye sminoff ya mdada atawekewa filter ya cigara na ugolo vijiko viwili ili azime yeye na kuamkia hospitalini.
Haaahaaaa....very true
 
Raha ya penzi mzungushane kwenye 6×6 bhaana!
Sasa unapiga mtu hata hajitambui ina raha gani sasa?
Labda kama unataka kumkomoa tu.
Na kama ninataka kuruka fence
 
Na kunywaga na glass babe kumenishinda kabeer kenyewe kale kadogo ukikamimina tu kameisha
Si ndo hapo sasa, ila ukienda bar tumia chupa usipendelee glass sawa mama!.. Unless uwe na wenzio!. Unaona watu wanavyotafuta grisi kulegeza oda bar hapa!.
 
Back
Top Bottom